Harry Makange wa Channel 10 Afariki kwa ajali

Harry Makange wa Channel 10 Afariki kwa ajali

Ina maana marehemu alipata ajali tatu mwaka huu?? na je?? kama ndivyo zilikuwa za pikipiki pia??

Ndio alipata ajali tatu mwaka huu. Ya kwanza ilikuwa ni ile iliyomhusisha mpiga picha wa habari leo, Athumani Hamisi ambaye bado yupo Afrika Kusini kwa ajili ya mamtibabu. Alipata pia ajali nyingine ya gari kabla ya kupata ajali hii ya juzi ya pikipiki iliyochukua maisha yake.
Ndio tumetoka kuuaga mwili wake nyumbani wka wakwe zake na unapelewka Kibaha kwa wazazi wake ambako atazikwa kesho.
Mungu amrehemu
 
RIP Harry Makange!

So Sad to here all this...

It was still so fresh mariage...Harrry what was so stressfully you have to quit? Unajua ajali na kifo kilivyotokea it tells a lot!

Anyaway...

Mungu aiweke roho yako pema peponi!
 
Back
Top Bottom