Harry Porter na You know Who

Wanaongea kwa kutumia nafsi ya tatu(3rd Person) .....
'Who knowa who, must not be named'
Naam. Hata Fir'aun wakati anafanya mazungumzo na Nabii Musa alijifanya kulizungumzia kosa la Nabii Musa ktk namna ambayo ilimaanisha ni kosa kubwa sana lisilopaswa kutamkwa kwa dhati yake.

Sasa kwa jinsi Voldermort alivyotisha wana haki kumzungumzia as a third person
 
HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA hii topic imenichekesha sana,sasa huyo You know who ...anachepuka saa ngapi jamani na ana walinzi kila mahali??? yaani nimefikiria nikaona wanaume kweli balaaa,suiombee ile kitu Samson alinyolewa nywele na delila,lol
 
Kuna uwezekano majina yakasababisha tabia fulani kumbuka habari ya yule faru maarufu (R.I.P)
 
Hahaha, are u nat 1 of dem ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…