Padri mkubwa kabisa unafahamu?Nisaidie maana sielewi kitu
MmhhBubu husema mambo yanapomzidia, amesema no hataki ujinga hata yule padre mkubwa kabisa ameshindwaw kumshawishi.
Bado nipo mbumbuPadri mkubwa kabisa unafahamu?
New Dady in Town unafahamu?
Female # 1 unafahamu?
Nikizidisha hapo huu uzi utafutwa kama uleeee wakwanza
Duhhh....[emoji15] [emoji15] [emoji15]Bado nipo mbumbu
Libichwa lizito niombee huko uendakoDuhhh....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Naenda shamba mkuuLibichwa lizito niombee huko uendako
OkNaenda shamba mkuu
Jamaa namkubali. Ila kwa sasa asiende Bongo tu. Ni hatari kwa usalama wake.TL Marandu akipata file zima analiweka you tube.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]page ya kwanza imepita kapa, ya 2 nikaunga unga mpaka kujua anaesemwa ni yule ana kichwa kibaya na kidevu kama konzi ya yuda eskarioti (akichorwa kikatuni)
Hakuna kufaidi katika kujivua nguo hadharani.Na sisi tuwe wakubwa tufaidi asee...
Itapendeza sana...
Ni baada ya kile kipigo cha mbwa, alipotoka hospitali alikataa kurudi. Ilibidi apelekwe kw nabii wa kutembea na socks. Aliporudi aliweka msimamo kuwa harudi ilibidi wamtembelee padre mkubwa kabisa nako ilishindikana.
Amepewa nyumba na ulinzi na anatokea kwenye public occasions kutuzuga Wadanganyika.
Sijui majirani walimpelekea beseni la mtoto kisura wa You Know Who kama tunavyofanyaga huku kwetu Africa
Ngoja tumsubirie padre "balozi" wa Canada, labda ataweza kumshawishi
Misamiati ya kwenye movies za harry Potter ilikuwa inaniacha hoi sana. He ho must not be named.Lord Voldemort must not be named
Ninakumbuka moja Harry alimwambia Harmony Granger ' if you are waiting for the approval of the universe, that will never happen'.Misamiati ya kwenye movies za harry Potter ilikuwa inaniacha hoi sana. He ho must not be named.
Bubu husema mambo yanapomzidia, amesema no hataki ujinga hata yule padre mkubwa kabisa ameshindwaw kumshawishi.
Tom Marvollo Riddle[emoji1]This cant be serious yaani kuna mtu anataka kufananishwa na Tom Marvolo
Tupeleke huko huko jumba jeupe. Au wanaogopa tutampiga baby J picha.Wapeleke mabeseni wapi?
Tetesi zilizopo ni kuwa yupo nyumba ya magogo,
nani aende huko?