Harry Porter na You know Who

Hapa Sielewi kitu!! Ngoja nikazuge zuge palee kwa wale wagosi wasukuma kwama,naweza ambulia hata ushanta!! Hapa watu wanaongea kwa kope tu!!?
 
mmmnh mkuu you know who unasikitisha sana,you come across as mpigaji wa wanawake,womanizer na mbabe,sidhani kama mke wako huko aliko anahuzunika,sana sana atakua amepata relief mama wa watu,🙁
 
He who must not be named, hajaanza leo kupenda kazi, nakumbuka enzi zile akiwa prefect wa kawaida sio HP alikuwa anasociolize na mwanadada mmoja hivi, tena kule nyumbani kwake katikati ya nchi , ila sharti mwanadada akienda kwa you know who aache usafiri wake nyumbani na aende kama ameenda kuomba msaada kwa kiranja. Akiruhusiwa na monitor kuingia ndani basi kazi zinamalizwa anasepa kama kawaida.
 

hahahaa you know who ..na uzinzi nikama mlevi wa komoni na kilabu cha pombe..hiyo kitu kumbe Ameanza kitambo namna hiyo duuuhhh noma sana aiseeee
 
Hahahaa.

You remind me of that book. Walizaa mtoto aliefanana half na baba, half na mama. Kwa baba yake nilipenda alivyomrithisha mtoto kichwa kirefu kama yale mavichwa hewa ya garimoshi.
 
You Know Who anahonga sio mchezo. Ile kitu amemuhonga bi mdogo kusimamia kule tunapogombana na wazungu naona alimuweka kabisa asiwe anadai child support ajilie kule kule child support yake.
Umetisha.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…