fimbombaya
Member
- Apr 11, 2011
- 47
- 12
kuna jamaa yangu anatatizo la kutoa harufu kali ya makwapa muda wote haijalishi katoka kuoga au anaelekea kuoga!asubuhi wala jioni ! hata akitumia body spray ni kazi bure na haisaidii chochote. afanye nini jamani?