Harufu kali wakati wa kujamiiana

Harufu kali wakati wa kujamiiana

Nawashukuruni sana wadau kwa mchango wenu juu ya tatizo langu! RIWA, KAPOTOLO na wengneo wengi nawashukuruni sana! Japo kuwa nipo mkoa wa mbali kidogo na mchumba wangu lakini niliweza kumshauri na kumsihi na yeye aingie JF hapa kwenye JF doctor ili na yeye aweze kugundua tatizo lake liko wapi. Ila mpaka mda huu ashamuona daktari mhusika na ameweza kupata msaada! Niwashukuruni sana wakuu! THANK U RIWA, KAPOTOLO and others....
 
Nawashukuruni sana wadau kwa mchango wenu juu ya tatizo langu! RIWA, KAPOTOLO na wengneo wengi nawashukuruni sana! Japo kuwa nipo mkoa wa mbali kidogo na mchumba wangu lakini niliweza kumshauri na kumsihi na yeye aingie JF hapa kwenye JF doctor ili na yeye aweze kugundua tatizo lake liko wapi. Ila mpaka mda huu ashamuona daktari mhusika na ameweza kupata msaada! Niwashukuruni sana wakuu! THANK U RIWA, KAPOTOLO and others....


Na my girl firend wako alikuwa na tatizo kama la MKANDAHARI?

Poleni sana.
 
Asante sana Doctor na wadau wengine. Nilikuwa na tatizo kama hilo ila lilitokea baada ya kuwa nimemis-carry (mimba iliharibika) wakaisafisha vibaya. Jamani nilitoa harufu mbaya especially wakati wa kumaliza tendo la ndoa. Baada ya kusafisha upya na kunipa antibiotic mambo super sasa hivi mzee hana lalamiko kabisa.

Riwa you are a star! keep up helping us. God bless you!
 
Okey haina haja ya kuangaika wala kummwaga mlete kwangu nijue harufu gani kisha nikupe dawa lakini kwa haraka mwambie oloweke mchele yale maji yake anawe fanya hivyo muda wa siku 7
 
cha ajabu zaidi, sijaona comment yoyote kutoka kwa mwanamke, sijui ni kwa nini.anyone kama unampenda kweli na una mpango wa kuwa nae kwa muda mrefu, mpeleke hospital, otherwise piga chiniiiiiiiii.
:fear:
 
Kamuone Gynocologist atakusaidia hilo tatizo linakwisha na lina dawa, utaendelea kuenjoy jirani, kutupa sio suluhu, unaweza kutupa wa harufu ukampata kicheche balaa..

Mkuu hapo nilipogogomea msumari nimecheka sana, yaani hii Terminology " KICHECHE BALAA"

umenikumbusha ANIMAL CHANELL, kweli ukiwaona vicheche na maisha yao utacheka sana, wanajifanya wajanja lakini waoga ile mbaya.

Demu KICHECHE NI NOMA, BORA ukae bila demu, wana mbio za ajabu na wepesi kukimbilia mafichoni!:A S 2152:
 
Hilo ni Gonorhea ndo linamsumbua..nenda mkapime.
 
Daaaaaaaaaah! hii tiba mbona ya ki****! celewi mbona wengine wananuka midomo ilhal kila ck wala bwabwa!:bored:! alafu hapo penye nyekundu: amlete ili umlambe na wewe upate harufu au waje uwasimamie wakati wanto*****? make harufu yenyewe yaja wakati wa Majambozzz!

Okey haina haja ya kuangaika wala kummwaga mlete kwangu nijue harufu gani kisha nikupe dawa lakini kwa haraka mwambie oloweke mchele yale maji yake anawe fanya hivyo muda wa siku 7
 
pole sana,tatizo hilo limeanza lini na harufu unafananisha na harufu ya kitu gani?ni vyeam umwone dakari wa magonjwa ya akina mama penine ni hali wanaita kataalamu BACTERIA VAGINOSIS.
 
Usimuache tafadhali,jitahidi kumsaidia na Mungu atawasimamia tatizo litakwisha tu.
 
Back
Top Bottom