Harufu mbaya kwenye zizi la mifugo

Harufu mbaya kwenye zizi la mifugo

tricky

Senior Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
107
Reaction score
32
Msaada dawa ya kuondoa harufu mbaya kwenye banda la mifugo kwani kila cku tunalifanyia usafi ila bado linatoa harufu hasa msimu wa mvua,hii harufu imekua ikiwa ni kero kwa majiran na nyumban kwetu pia,na sisi hatuwez kuacha kufuga sababu hii mifugo ndo inatubeba familia.
 
Msaada dawa ya kuondoa harufu mbaya kwenye banda la mifugo kwani kila cku tunalifanyia usafi ila bado linatoa harufu hasa msimu wa mvua,hii harufu imekua ikiwa ni kero kwa majiran na nyumban kwetu pia,na sisi hatuwez kuacha kufuga sababu hii mifugo ndo inatubeba familia.
Pole mkuu ila ungetaja aina ya mifugo yako ili wenye uzoefu wakusaidie, kama ulivyosema endelea na usafi watakuja wataalamu wakupe ujuzi zaidi
 
Nina dawa maalum ya aloevera ina harufu nzuri sana. Lita 1 nauza TSH 3000 ulitaka lita ngapi na uko wapi?Inafaa kwa ufugaji wa aina zote
 
nipo morogoro,inatumika vp hiyo dawa,

Mkuu nami ninayo hiyo aliyotaja hapo mkuu ila nipo Songea kama kuna mtu anakuja songea umuagize akubebee. Ukishafagia zizi unaimwaga hii sabuni ya aloevera zizini. Unaiacha nusu saa kisha unadeki. Italeta harufu nzuri na kuuwa wadudu mbalimbali. Pia unaweza kumuogeshea mnyama badala ya josho. 0765608067
 
Back
Top Bottom