Helper Personal
Member
- Dec 1, 2017
- 39
- 43
Nilikuwa na binti mmoja ambaye ni X wngu kwa sasa,
Binti huyo tulikutana chuo akiwa mwaka wa pili na mimi nikiwa mwaka wa kwanza.
Nilimpenda na kumtongoza hatimaye tukakubaliana na kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi, ila chakushangaza alinipenda na nikampenda pia lakini suala ya kukutana kimwili alikuwa anakwepa sana,
Alipofika mwaka wa tatu semester ya mwisho ndipo alikubali kufanya mapenzi, Pamoja na kunikubalia lakini nilipata shida sana wakati wa sex,
Maana alikuwa anatoa harufu mbaya mdomoni pamoja na UKE ndipo nilipogundua sababu kubwa ya yy kunikwepa kusex kwa mda wa mwaka mzima tukiwa kwenye mahusiano.
Je? inaweza kuwa tatizo gani kwa mwanamke kutoa harufu mdomoni pamoja na uke? Na anatakiwa kufanya nini ili kuondoa hiyo hali inayomnyima raha ya kukutana na wanaume?
Wale mnaujua dawa mbalimbali za miti shamba na wale madoctors mnaujuwa dawa za hospital naomba kusaidiwa dawa ili niweze kumsaidia X wngu maana bado nampenda.
NB: kama usafi ni msafi sana na anapiga msawaki kila anapomaliza kupata chakula na anaoga mara tatu kwa siku.
Binti huyo tulikutana chuo akiwa mwaka wa pili na mimi nikiwa mwaka wa kwanza.
Nilimpenda na kumtongoza hatimaye tukakubaliana na kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi, ila chakushangaza alinipenda na nikampenda pia lakini suala ya kukutana kimwili alikuwa anakwepa sana,
Alipofika mwaka wa tatu semester ya mwisho ndipo alikubali kufanya mapenzi, Pamoja na kunikubalia lakini nilipata shida sana wakati wa sex,
Maana alikuwa anatoa harufu mbaya mdomoni pamoja na UKE ndipo nilipogundua sababu kubwa ya yy kunikwepa kusex kwa mda wa mwaka mzima tukiwa kwenye mahusiano.
Je? inaweza kuwa tatizo gani kwa mwanamke kutoa harufu mdomoni pamoja na uke? Na anatakiwa kufanya nini ili kuondoa hiyo hali inayomnyima raha ya kukutana na wanaume?
Wale mnaujua dawa mbalimbali za miti shamba na wale madoctors mnaujuwa dawa za hospital naomba kusaidiwa dawa ili niweze kumsaidia X wngu maana bado nampenda.
NB: kama usafi ni msafi sana na anapiga msawaki kila anapomaliza kupata chakula na anaoga mara tatu kwa siku.