Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] duh Pole wadada zetu kumbe wapo wa namn hyo wengneHv ulishawai kukutana na mwanamke akivua tu chupi inatoka harufu kali lkn kikwapan ananukia manukato!!?...
Kumbe,so kila anaetoa haruf itakuw gonjw sio mkuu?Duuh labda wana magonjwa ya zinaa au ni wachafu, papuchi huwa haitoi hatufu ina harufu asilia ambayo haikeri
Kuelezea harufu ni ngumu kidogo lakini ni kweli papuchi inayotunzwa vizuri huwa ina harufu yake original. Hiyo harufu mimi nikiisikia huwa nachanganyikiwa kabisaApo kwenye asilia ndiyo nakua sielewi ikiwa inanukiaje ndiyo asilia? Kuna harufu nyingi ya chungwa ,strawberry nk. Sasa papuchi inabidi inukie harufu gani[emoji848][emoji12]
Kwani we yakwako ina harufu ya aina gani?Hahaaa kwani ulizowahi kunusa zinanukiaje mkuu?, kama ni harufu ya chungwa hivi au nanasi nambie[emoji3][emoji3]
ndege wafananao huruka pamojaHv ulishawai kukutana na mwanamke akivua tu chupi inatoka harufu kali lkn kikwapan ananukia manukato!!?...
Papuchi yangu ina harufu ya miwa😀Kwani we yakwako ina harufu ya aina gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio mbaya inalika vizuriPapuchi yangu ina harufu ya miwa[emoji3]
Sawa yellow eyesNicheki PM kwa mazungumzo zaidi.
Hawakuzaliwa na harufu. Obviously ni shahawa zenye bakteria ambazo zilmewasababishia maambukizi.
Thank you😀😀 inanipa moyo kiasi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio mbaya inalika vizuri
Weee🤣 hebu nyamaza sasaPapuchi yangu ina harufu ya miwa😀
Duuh labda wana magonjwa ya zinaa au ni wachafu, papuchi huwa haitoi hatufu ina harufu asilia ambayo haikeri
KaribuThank you[emoji3][emoji3] inanipa moyo kiasi
Kejeli gani sasa wakati nimeuliza
Hahaa kuna dem alisha wahi nambia kua alikutana na mwanaume manii zake zinanuka hata sikuelewa ...km kweli kuna wanaume wana manii zinanuka
Hiyo ambayo haina kero inakuwaje? Maana siku hizi nyie mnatuboa mnaosha papuchi na kupiga pafyumu tunakosa ile harufu ya asili ya papuchi.
Sawa mkuu tutawasiliana kwa mchakato wa kunusa hii papuchi😀Mkuu una hoja ya msingi harufu ya papuchi ile original itaisikia haikeri. Ukinusa utatamani unuse tena. Tena inaongeza mshawasha kwa opposite sex. Jaribu kunusa tena mkuu. Ukishindwa kutambua tuwasiliane tuone namna tunaweza tukalifanya hilo kwa pamoja.
Yawezekana wanukao wana matatizo kama fangasi,yeast na magonjwa mengine.Unakutana na unaofanana nao, sijawahi kusikia mwanamke anaweka perfume kwenye sehemu za siri, sehemu za siri ni very sensitive na zinapaswa kutunzwa kwa uasili wake, hao wanaonuka unakutana nao wapi?