harufu ya kinyesi na ushoga

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
leo asubuhi nimesikia toka redioni uchambuzi wa magazeti na kusikia habari moja ya ajabu kiasi. Nadhani inatoka amerika ya kusini. Bahati mbaya sikusikia ni gazeti gani. Kwamba wanaume wanakuwa mashoga kutokana na maji ya kinyesi yanayopita maeneo wanakoishi! Hii imekaaje? Tunaomba mwenye hiyo habari atuwekee humu ili matabibu watudadavulie
 
Mwenyewe nilisikia ila siyo maji yenye vinyesi,nilisikia kama maji yenye madini sijui ni madini gani,wanapoyatumia yale maji homones hubadilika na ujinsia!ni kitu kama hicho.
 
Mwenyewe nilisikia ila siyo maji yenye vinyesi,nilisikia kama maji yenye madini sijui ni madini gani,wanapoyatumia yale maji homones hubadilika na ujinsia!ni kitu kama hicho.

yawezekana. Nikataka kushangaa inakuwaje hapa. MODS nisaidieni kuweka taito vizuri
 
Kasheshe....itabidi nasi tutafiti kwa wanaume wanaofanya kazi kweny magari ya kunyonya kinyesi, inawezekana wengi wao mashoga?!
 
Kasheshe....itabidi nasi tutafiti kwa wanaume wanaofanya kazi kweny magari ya kunyonya kinyesi, inawezekana wengi wao mashoga?!

dk bwana. Inabidi utafiti ufanyike kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…