Harufu ya Rushwa CCM Mkutano Mkuu

Harufu ya Rushwa CCM Mkutano Mkuu

Chama cha Mapinduzi kimetangaza Tarehe 7 na 8 Disemba ni Mkutano Mkuu wa Taifa wa ambao utakuwa na jukumu la kuwachagua viongozi wapya ngazi ya Taifa suala la rushwa limeonekana kuitia doa CCM.

Tayari malalamiko yameanza kutolewa kwa baadhi ya wagombea kudaiwa kutoa hadi milioni 5 kwa kila mjumbe ili wachaguliwe kwenye nafasi za uongozi zitakazopigiwa kura na Mkutano Mkuu.

Kama madai hayo ni ya kweli nini hatma ya CCM kupata viongozi wazuri watakoweza kuisimamia Serikali ili itekeleze majukumu yake kwa wananchi.

CCM ikiyumba, nchi yetu itayumba!
HUPATI UONGOZI NDANI YA CCM BILA KUTOA RUSHWA RUSHWA NI IPO KTK AHADI ZA CHAMA NA NDIO MAANA HUTASIKIA MTU KAKAMATWA KWA KUTOA AU KUPOKEA RUSHWA
mwananchi_official_1669443731679119.jpg
 
Chama cha Mapinduzi kimetangaza Tarehe 7 na 8 Disemba ni Mkutano Mkuu wa Taifa wa ambao utakuwa na jukumu la kuwachagua viongozi wapya ngazi ya Taifa suala la rushwa limeonekana kuitia doa CCM.

Tayari malalamiko yameanza kutolewa kwa baadhi ya wagombea kudaiwa kutoa hadi milioni 5 kwa kila mjumbe ili wachaguliwe kwenye nafasi za uongozi zitakazopigiwa kura na Mkutano Mkuu.

Kama madai hayo ni ya kweli nini hatma ya CCM kupata viongozi wazuri watakoweza kuisimamia Serikali ili itekeleze majukumu yake kwa wananchi.

CCM ikiyumba, nchi yetu itayumba!

Kuna chama hakina rushwa? Rushwa na Mtanzania Yai na kuku.
 
Chama cha Mapinduzi kimetangaza Tarehe 7 na 8 Disemba ni Mkutano Mkuu wa Taifa wa ambao utakuwa na jukumu la kuwachagua viongozi wapya ngazi ya Taifa suala la rushwa limeonekana kuitia doa CCM.

Tayari malalamiko yameanza kutolewa kwa baadhi ya wagombea kudaiwa kutoa hadi milioni 5 kwa kila mjumbe ili wachaguliwe kwenye nafasi za uongozi zitakazopigiwa kura na Mkutano Mkuu.

Kama madai hayo ni ya kweli nini hatma ya CCM kupata viongozi wazuri watakoweza kuisimamia Serikali ili itekeleze majukumu yake kwa wananchi.

CCM ikiyumba, nchi yetu itayumba!
Ukiondoa CCM ya Mwalimu, rushwa kwenye chaguzi za CCM limekuwa ni jambo la kawaida sana. Ni mfumo uliokubalika ndani ya CCM. Ndiyo sababu pia, hata Serikali inayoundwa, huwa imejengeka katika misingi ya kujitajirisha kwa wateule kupitia rushwa na ufisadi.
 
Wajumbe was mkutano mkuu wa CCM wapo zaidi ya 2000 na kama mtu amehonga million 5 kwa kila mjumbe maana yake kiwango kinachohitajika ni billion 10 ,uongo wako umekosa script
Unamjua GSM NA ROSTAM ? hao ndiyo wapo kwenye hatua za mwisho kuchukua ccm yote na kupandikiza watu wao ndiyo maana unaona kwa sasa hata picha za rushwa zikivuja hakuna polisi wala takukuru wanasema neno hata moja kunawatu wanaunda team yso kamili ya WAHUNI NDANI YA CCM
 
Back
Top Bottom