Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe vipi hutumii creamYaan na hili joto la dar[emoji119][emoji119]
Ila jamani watu wanaojichubua wana jasho bayaaa pooh mbaka. Na jua linavyowaka basi ndo wekunduuu. Mtu akichubua hupoteza ile mvuto wa asili.
Ila si nyie mnapendaga weupe ndo maana na wao wanahangaika jamani wawe weupe?
Wachafu Sana yan [emoji37]alafu akitumia tissue kwenye kuchamba, baadhi ya chembe chembe za mav zinabaki kwenye makucha marefu
Halafu wana njaa kali mpaka kwenye kucha za kisiginoalaf wavaa wigi ndio wanaokazania kweli umtumie na ya kutolea, pambaf zao
Hongera kwa cheo [emoji847]Duh haya tumekuskia !kwa niaba ya wanawake wa Dar nasema hivi tutayafanyia kazi hayo[emoji3]
AhsanteeHongera kwa cheo [emoji847]
Mzima lkn?Ahsantee
kwanini humuambii akaoge pale anapofika getto ?
mkiambiwa mtafute pisi kali hamtaki mnakomaa na za buza mnaziita za kienyeji, madhara ndio haya sasa mkuu
Mi mzima vipi wewe?Mzima lkn?
Mzima pia.Mi mzima vipi wewe?
Hahah