Bora wewe umesema,kijana huyu ana malezi mabaya yaliopelekea kuwa na tabia chafu haya haya ndio maana Maximo walimchukia alipomuadabisha yeye na KasejaKufuatia mlolongo wa matukia ya mwanandinga Haruna Moshi Boban kukataa kuichezea timu ya taifa U-23, dhidi ya Ushelisheli hivi karibuni kule Arusha imenikumbusha rekodi yake mbovu ya nidhamu.Si kule Simba tu toka nyakati hizo ila pia aliwahi kuingia na kopo la bia U/Taifa,kukacha mazoezi na hivi majuzi baada ya fainali ya Kagame Cup chap chap alibadili nguo akavaa jeans na T shirt na open shoes, baada ya kukabidhiwa medali akaivua pale pale mbele ya mgeni rasmi.Hii pia imenikubusha ni kwa nini Maximo aliwahi kusema hana nidhamu hata kidogo na humpiga chini jumla kuichazea Stars.
Hivi diof wa senegal na Boban nani hana ni dhamu kuna wachezaji wenye nidhamu 0 lakini wana tumikia mataifa yao tatizo kwetu hatuna watu wa kushugulika na watu kama Boban....mwangalie Balloteli,Gaza nk....Kufuatia mlolongo wa matukia ya mwanandinga Haruna Moshi Boban kukataa kuichezea timu ya taifa U-23, dhidi ya Ushelisheli hivi karibuni kule Arusha imenikumbusha rekodi yake mbovu ya nidhamu.Si kule Simba tu toka nyakati hizo ila pia aliwahi kuingia na kopo la bia U/Taifa,kukacha mazoezi na hivi majuzi baada ya fainali ya Kagame Cup chap chap alibadili nguo akavaa jeans na T shirt na open shoes, baada ya kukabidhiwa medali akaivua pale pale mbele ya mgeni rasmi.Hii pia imenikubusha ni kwa nini Maximo aliwahi kusema hana nidhamu hata kidogo na humpiga chini jumla kuichazea Stars.
kaseja aliadabishwa kwa kosa lipi labda mwenzetu unajua...Bora wewe umesema,kijana huyu ana malezi mabaya yaliopelekea kuwa na tabia chafu haya haya ndio maana Maximo walimchukia alipomuadabisha yeye na Kaseja
<br />kaseja aliadabishwa kwa kosa lipi labda mwenzetu unajua...
Sikumbuki kama ilikuwa Misri au Benin,ila kaseja alishangilia wakati Ivo Mapunda akifungwa goal,ndio tatizo la wachezaji wetu.selfish sana<br />
<br />
wakiwa misri na starz ilipokuwa inaporomoshewa mvua ya magoli kuptia ivo mapunda, kaseja alionekana kucheka (kufurahia kpgo hko) ktendo ambacho kwa hali ya kawaida sio jambo zuri na linavunja umoja wa timu. Hakika Kaseja alfanya kosa kubwa sana.
Vijana kama haruna ni kupigwa benchi akaendelee na bangi zake na wahuni wezanke.Unauliza mambo ya Diof? au Balloteli ambae kama akiendela hivi hatafka popoteHivi diof wa senegal na Boban nani hana ni dhamu kuna wachezaji wenye nidhamu 0 lakini wana tumikia mataifa yao tatizo kwetu hatuna watu wa kushugulika na watu kama Boban....mwangalie Balloteli,Gaza nk....
kaseja aliadabishwa kwa kosa lipi labda mwenzetu unajua...
Kumbukumbu zako naona haziko vizuri, nadhani unataka kuzungumzia mechi ya kule senegal tulipofungwa goli 4 kama sikosei kaseja akiwa benchi na siyo misri hata hivyo kaseja alikanusha kufanya kosa hilo na maximo hakuweka bayana mpaka anaondoka mpaka wengi tunadhaani labda walichukuliana mademu kwasababu kaseja kwani dhamu yuko vizuri...<br />
<br />
wakiwa misri na starz ilipokuwa inaporomoshewa mvua ya magoli kuptia ivo mapunda, kaseja alionekana kucheka (kufurahia kpgo hko) ktendo ambacho kwa hali ya kawaida sio jambo zuri na linavunja umoja wa timu. Hakika Kaseja alfanya kosa kubwa sana.
Kuna kocha wa timu ya ligi kuu ya uingereza alisha wahi kushangilia goli na timu pinzani baada ya timu yake kufungwa..hivi alifukuzwa...alishangilia mabao ya mamadou niang!
siyo kwamba alichukuliwa kama mchezaji wa chini ya miaka 23 hapa lengo la kocha ilikuwa kumuona kiwango chake kabla haja chagua timu ya taifa na kwakuwa zile mechi zilikuwa za kirafiki angeweza kucheza bila shida yoyote kama alivyofanya machaku, Kijiko lakini kwa mwaikimba na boban waligoma kujiunga na sababu bado hazijajulikana ila kocha wa taifa stars ameomba kukutana na boban ili ajue sababu za mwanandinga huyo kuto kujiunga na timu ya watoto...huyu jamaa umri wake ni mkubwa sana inawezekana ni above thirty ndio maana amekataa kwa kuona aibu. hata huko kwao tabora wangemshangaa sana km angekubali. nasikia ameanza kuvuta tumbaku toka miaka ya tisini mwishoni thats why anajichanganya!!!!!!!!!! wana jf huko tabora mnaomfahamu tupeni cv yake toka primary hadi sekondari,nasikia aliwahi kushiriki umisseta kabla ya kufutwa na mungai kipindi hicho... so sio rahisi akawa ni U-23.
kuna mkoa wanatumia kama mboga...Halafu kule Tabora si adimu hata kidogo,kila kona.