Exactly MkuuMoja kati ya vipaji bora kutokea Tanzania ila alishindwa kujitambua!
Namheshimu sana huyu jamaa kweli anajua.Moja kati ya vipaji bora kutokea Tanzania ila alishindwa kujitambua!
Kula mara ya pili?[emoji113]Mpira ukiisha kabisa miguuni kwake huyu lazma atakuja kula ngada tu..usela mwingi mnoo
AhahhahahaahKula mara ya pili?[emoji113]
View attachment 656709 Monte's mkongwe tu..
Mwanetu Haruna Moshi Shaaban Mawela "Boban" akitokea benchi anaifungia timu yake ya Friends Rangers goli la pili na la ushindi dhidi ya Ashanti united na kuivusha timu yake kwenda hatua/raundi ya tatu.
Gumzo ni muonekano mpya wa boban akiwa na rasta "dreadlocks" mithili ya vijana wapiga rege toka jamaika al-maarufu kama "roots bwai"
Anaoga siku hizi akivuta ganja!!!! maana wakati wa ndondo cup nywele zilikuwa zinanuka moshiView attachment 656709 Monte's mkongwe tu..
Mwanetu Haruna Moshi Shaaban Mawela "Boban" akitokea benchi anaifungia timu yake ya Friends Rangers goli la pili na la ushindi dhidi ya Ashanti united na kuivusha timu yake kwenda hatua/raundi ya tatu.
Gumzo ni muonekano mpya wa boban akiwa na rasta "dreadlocks" mithili ya vijana wapiga rege toka jamaika al-maarufu kama "roots bwai"