Haruna Niyonzima aongea kuhusu kutimka Yanga, mpaka sasa hajaongeza mkataba

Mwacheni Fundi aendelee na Maisha. Kiiza aliwambia, hata msajili messi hamuwezi kuwa Champ Of VPL

Sijui ni kitu gani peoples wanakiona cha Kipekee sana kuhusu Niyo hata astahili coverage hii.

Sipingi kuwa ni Good Player. But hizi attention zote angestahili KAMUSOKO aliyecheza mechi nyingi sana last season.
 
Sijui ni kitu gani peoples wanakiona cha Kipekee sana kuhusu Niyo hata astahili coverage hii.

Sipingi kuwa ni Good Player. But hizi attention zote angestahili KAMUSOKO aliyecheza mechi nyingi sana last season.
Nipo na ww...
Hawa viongozi sijui matajiri uchwara wanapiga dili tuuu
Milioni 100 kwa mpira gani ? Hivi kuna timu ilikuwa na viungo wazuri km Simba ukiacha Kamusoko ?? Hawa majizi tu halafu wanatuongopea kutoa magari ya ovyo....nunua moja pata moja bure ,,,viksi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…