Haruna Niyonzima asajiliwa tena Yanga

Hahahaha, hivi ni kweli mnamchukua?

MTC | 101| [emoji769]
Nilikuwa naangalia sehemu Msemaji wa Yanga Hassan Bumbuli anasema katika mchujo ya Makocha walioomba kazi kwenye Timu ya wananchi na yeye yumo ila ndio bado haijajulikana kama ana sifa za kuwazidi wenzake alionao humo.

Hivyo anaeza au pia asiweze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…