Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
Janja janja za GSM tumezigundua.Yap yap! Sio Mchezo Mtani yaani mpaka tumempa Manara kazi ya kuwa mletaji wa habari za Yanga zilizovunjika. π€£π€£π€£
Hahahaha ,mmewavuruga ,uzuri GSM nao ma master wale ,wanajua figisu + back up ya msogaYap yap! Sio Mchezo Mtani yaani mpaka tumempa Manara kazi ya kuwa mletaji wa habari za Yanga zilizovunjika. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani mmekuwaje Wadogo ni Yanga tu ndio tunatamba huko mitandaoni. π€£ na ukiangalia mmesema hamsajili basi mnabakia kutoa macho tu Mtani. π€£Na mbwembwe mnaziweza aise
Haya tuko mbioni kuyatafutia ufumbuzi Mtani.Baada ya miezi 3 utasikia yikpe, adeyum ditram wadai malimbikizo yao ya miezi 3.
Uchebe ataweza kweli hapo jangwaniNilikuwa naangalia sehemu Msemaji wa Yanga Hassan Bumbuli anasema katika mchujo ya Makocha walioomba kazi kwenye Timu ya wananchi na yeye yumo ila ndio bado haijajulikana kama ana sifa za kuwazidi wenzake alionao humo.
Hivyo anaeza au pia asiweze.
ππ Hamna kitu kama hicho Mtani. Zahera ndio alitaka kutuuza mana aliowasajili karibia wote wamesepa.Hahahaha, safari hii mtapigana wenyewe kwa wenyewe ,maana huu usajiri wa sasa ni wa Msola na Mkwasa
MTC | 101| [emoji769]
Huyu nae inaonekana kwao ni shida tupu Yanga ilimtema Simba ikamwokota mayo ikamtema,leo karudi huku anajua kuna wachezaji wanakimbia mishahara hawajalipwa,Kocha zahera anadai yeye nae anajichomeka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ostaz matola anawasubiria kwa hamu sanaYaani mmekuwaje Wadogo ni Yanga tu ndio tunatamba huko mitandaoni. π€£ na ukiangalia mmesema hamsajili basi mnabakia kutoa macho tu Mtani. π€£
Haya tuko mbioni kuyatafutia ufumbuzi Mtani.
Hivyo Mtani tunywe Mtori nyama tutazikuta chini. ππ
Hahahaha, mchwzaji wangu Molinga kabaki[emoji23][emoji23] Hamna kitu kama hicho Mtani. Zahera ndio alitaka kutuuza mana aliowasajili karibia wote wamesepa.
Haya tutayazungumzia baadae kwa sasa tuko BUSY na usajili Mtani.πππJanja janja za GSM tumezigundua.
Alipe million 300 kwanza ya kubwa kuliko aliyoahidi.
Asitusahaulishe kwa kutulea kina niyonzima
Una izungumzia hii GSM iliyoshindwa tekeleza ahadi yake ya kutoa million 300 iliyozihadi siku ya kubwa kuliko.
Acha kabisa. Yaani saa hii viroho vinawadunda tu huko huku vikitamka "january nne" "january nne" "january nne" ππππHahahaha ,mmewavuruga ,uzuri GSM nao ma master wale ,wanajua figisu + back up ya msoga
Nawatakia kila la kheri hiyo January 4 2020
MTC | 101| [emoji769]
hahaha aiseHaya tutayazungumzia baadae kwa sasa tuko BUSY na usajili Mtani.πππ
Atapaweza tu na ndio maana akomba ajira Mtani.Uchebe ataweza kweli hapo jangwani
MTC | 101| [emoji769]
Sawa HASSAN DALALI. πββοΈπββοΈπββοΈ
Niwe mkweli nikimfikiria enzi za Lipuli, Polisi Tanzania naona kazi tunayo pale Mtani. π€π€π€Hahaha ostaz matola anawasubiria kwa hamu sana
Kabakia Mtani. Na anajitahidi kuzowea zowea.Hahahaha, mchwzaji wangu Molinga kabaki
MTC | 101| [emoji769]
Hamna ni kwa ajili ya kuchukua Ubingwa wa TPL Mtani.hahaha aise
Wote hawa ni kwa ajili ya January nne
Hivi bado mnaliwaza kombe hiliHamna ni kwa ajili ya kuchukua Ubingwa wa TPL Mtani.
Yah! Tunaliwaza ndio Mtani kwani mpaka sasa hata na sisi nafasi ya kulichukua ipo.Hivi bado mnaliwaza kombe hili
Si tuliwaambia baadae ya miaka 10
Hivi we jamaa mbona umetukomalia hvyo au umetumwa?Hivi bado mnaliwaza kombe hili
Si tuliwaambia baadae ya miaka 10