Haruna Niyonzima Simba SC

Niyonzima hajasaini Simba sc.
Sio vizuri kudanganya uma.
Wala sio lazima asaini Simba sc. Timu inawachezaji wengine na ni wazuri.
Simba sc, bila Niyonzima inawezekana.
 
Niyonzima hajasaini Simba sc.
Sio vizuri kudanganya uma.
Wala sio lazima asaini Simba sc. Timu inawachezaji wengine na ni wazuri.
Simba sc, bila Niyonzima inawezekana.
amesaini Lipuli Fc mkuu
 
KWA WAPENZI WA MPIRA

Mechi za leo

1. Yanga Vs Msamvu United
Uwanja: Shule ya msingi Kibindu
Muda: saa 10.00 jioni

2. Simba vs Orlando Pirates
Uwanja-Orlando Johannesburg
Muda-10.00 jioni

Nawatumia link ya kuangalia mechi hiyo ya pili na namba ya mwalimu Mkuu wa Sule ya Msingi Kibindu kwa ajili ya kuulizia matokeo ya mechi hiyo ya kwanza.



Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
 
KWA WAPENZI WA MPIRA

Mechi za leo

1. Yanga Vs Msamvu United
Uwanja: Shule ya msingi Kibindu
Muda: saa 10.00 jioni

2. Simba vs Orlando Pirates
Uwanja-Orlando Johannesburg
Muda-10.00 jioni

Nawatumia link ya kuangalia mechi hiyo ya pili na namba ya mwalimu Mkuu wa Sule ya Msingi Kibindu kwa ajili ya kuulizia matokeo ya mechi hiyo ya kwanza.



Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
 
Kwa maelezo ya Manara, wanamsajili Niyonzima(32) kufuta machungu ya kumpoteza Ajib (23)
Kama umri ndio kigezo cha kiwango, basi golikipa mpya wa Yanga kutoka Serengeti Boys, Ramadhan Kabwili ni bora kuliko Aishi Manula wa Simba. Pia Malimi Busungu ni bora kuliko mkongwe Amisi Tambwe
 
Kama umri ndio kigezo cha kiwango, basi golikipa mpya wa Yanga kutoka Serengeti Boys, Ramadhan Kabwili ni bora kuliko Aishi Manula wa Simba. Pia Malimi Busungu ni bora kuliko mkongwe Amisi Tambwe
Kweli kabisa.

Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
 
Hata Ulaya mchezaji akichoka anaenda china au Marekani kula pensheni

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tunasubiri mikataba yake
 

Huko South mmeshachomekwa kimoko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…