Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Mmmh nimejuta kukufahamuAm not so sure mkuu about my background ila jina la ukoo ni 'Katumbi' sa sijui ndio wale kina Moise katumbi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Twenzetu tukaangalie Kingsman kesho century cinema mama ila before that tukale chicken wings pale merry brownteh teh nimemis bata kwakweli !
Twenzetu tukaangalie Kingsman kesho century cinema mama ila before that tukale chicken wings pale merry brown
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali mama, wewe kwa raha zako. Sa sijui unapenda liveband au aina gani ila nafkiri pale Hyatt Regency level eight still kuna zile gala nights wanakua wanapiga vyombo taraatib huku unashushia mvinyo au labda twende Addis in Dar. Chaguo lako mAMa, ila ni vyema pia kama unahitaji kwenda na bw nanyupu katika show ya msanii pendwa msagasumu anayetesa na kibao chake cha mwanaume mashine itakayofanyikia pale mlandizi maeneo ya kilangalanga....kwenye mambo ya movie mie ni zero!sio mpenzi hata kidg jaman huwa nasinzia !mie nimwage muziki niache nipe nafasi usinighasi ! utanipenda
Nakuonakwenye mambo ya movie mie ni zero!sio mpenzi hata kidg jaman huwa nasinzia !mie nimwage muziki niache nipe nafasi usinighasi ! utanipenda
Hahah, usijute mdada by the way hows the weeknd starting??Mmmh nimejuta kukufahamu
Usijali mama, wewe kwa raha zako. Sa sijui unapenda liveband au aina gani ila nafkiri pale Hyatt Regency level eight still kuna zile gala nights wanakua wanapiga vyombo taraatib huku unashushia mvinyo au labda twende Addis in Dar. Chaguo lako mAMa, ila ni vyema pia kama unahitaji kwenda na bw nanyupu katika show ya msanii pendwa msagasumu anayetesa na kibao chake cha mwanaume mashine itakayofanyikia pale mlandizi maeneo ya kilangalanga....
Sent using Jamii Forums mobile app
Weekend nipo tu don
Hahaa heshima yake Donjaman ninacheka haaaaaaaaaahhhhhhaaaaaaaaaaaaa !mama weee!dah kuna matusi dunian jaman!ahhahhhahh! nakosa la kujibu jaman !yaan mume aende kwa masaga sumu kweli !hahaha sasa hv mdogo wangu katoka nichezea kisingeli !kwakweli nacheka tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]jaman ninacheka haaaaaaaaaahhhhhhaaaaaaaaaaaaa !mama weee!dah kuna matusi dunian jaman!ahhahhhahh! nakosa la kujibu jaman !yaan mume aende kwa masaga sumu kweli !hahaha sasa hv mdogo wangu katoka nichezea kisingeli !kwakweli nacheka tu
Karibu mkuu, mi hapa nachagua sijui muvi gani nikomae nayo hapa saivi maana nshachek kama mbili hivi...Weekend nipo tu don
Mambo ya many viewers, Replies na ma-likes au sio...
Yeah kijiwe cha soga tu chiefMambo ya many viewers, Replies na ma-likes au sio...
nimekuelewa
Oooh sawa kiongozi
Mkuu kughairi hakujawahi kumwacha mtu salama
Mkuu uwanja uko waz kaz kwakoMkuu kughairi hakujawahi kumwacha mtu salama
Inferiority complex imemfanys mume wa mtu aamue kubadili avatar yake ajaribu kwenda sawa na le don bila kujua huyu mtu ni wa sayari nyingine si wa dunia hii...Hahaa heshima yake Don