ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Nimeona niongelee hili jambo, kwani linatrend sana, tatizo la ajira limekuwa kubwa sana, kiasi kwamba vijana wengi wameshindwa kuajiriwa au kujiajiri Kwa ukosefu wa mitaji.
Nafurahi pia Kusema kuwa ,utaratibu uliopo Tanzania wa kuchangiana Kila Kijana anapotaka kuoa imekuwa ni mkombilozi Kwa vijana wengi, kwani vijana wengi wameoa na wanafanya biashara zao Kwa kutumia michango waliokusanya kupitia ndoa walizotangaza na kufungua Grupu wasap.
Michango ya Harusi imekuwa ni Faraja Kwa vijana kwani imeweza kuwainua kiuchumi na kupunguza mzigo wa Serikali kutoa ajira.
Ninatoa Rai Kwa wananchi wa Tanzania kuenzi na kudumisha utaratibu huu kwani japo unaumiza wachangaji unasaidia pia kudumisha uchumi
Nafurahi pia Kusema kuwa ,utaratibu uliopo Tanzania wa kuchangiana Kila Kijana anapotaka kuoa imekuwa ni mkombilozi Kwa vijana wengi, kwani vijana wengi wameoa na wanafanya biashara zao Kwa kutumia michango waliokusanya kupitia ndoa walizotangaza na kufungua Grupu wasap.
Michango ya Harusi imekuwa ni Faraja Kwa vijana kwani imeweza kuwainua kiuchumi na kupunguza mzigo wa Serikali kutoa ajira.
Ninatoa Rai Kwa wananchi wa Tanzania kuenzi na kudumisha utaratibu huu kwani japo unaumiza wachangaji unasaidia pia kudumisha uchumi