Harusi ni harusi hata bila kuvaa shela!

Harusi ni harusi hata bila kuvaa shela!

Pape

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2008
Posts
5,487
Reaction score
83
i931_NDOA.jpg
 
Mbona wanatia huruma? hawacheki? walilazimishwa kuuoana?
 
Sidhani kama hii ni harusi,wako kama mafande fulani wamegradyueti sasa wanapongezwa.
 
Wahimtimu wa Mgambo!
Si unajua ni dili la hatari ukiwa mgambo wa jiji!
 
wapi mdau, basi tu furaha wanaijua wao wenyewe!
 
Harusi nzuri sana hii, walichokosa tabasamu, lakini ndoa zenyewe za siku hizi tabasamu la kazi gani bwana wakati masumbwi yanaanzia honeymoon
 
kwani ndoa ya mashamushamu ni nini?ujue wengi tunafunga ndoa za gharama at the end of the day unabaki na madeni bilaa,mimi nimeipenda hii sana japo ni kijijini lakini km town ukipiga normal pamba,then shida nini! tunachanga.Nimeefanya utafiti kwa mda wa miezi sita ujue kwa dsm pekee kwa week ni average ya 600,000,000 imagine kila week, tena huu utafiti nimeufanya si kiundani yaweza kuwa zaidi ya hapo! tungeweka ktk mambo muhimu zaidi!ebu jiulize umechangia sh ngapi za harusi kwa mwka huu pekee?n aumefaidika vipi na una matatizo yapi ya wewe mwenyewe kutatua?
 
Kweli hawa watu wana mawazo mazito kila mmoja anawaza lake
 
hawa jamaa wamekaa KIKAKSI!!!
 
walikuwa wanawaza kinachofuata baada ya ndoa!
 
Bro bana, ina maana wamarekani ndio wenye copyright ya kucheka? tena ukiwangaalia kwa karibu utahisi wanafanana.

Wamarekani ndio kucheka mandatory katika picha, hata kama mtu kakasirika kabla ya kupigwa picha utawasikia "say cheese!". Tangu watoto wadogo wanafundishwa ni lazima ku smile kwenye picha regardless of how you feel, fake smiles and fake optimism.

Sasa watu wanaoana, wana anxiety, hawajui maisha ya ndoa yataoffer nini, partly wako optimistic, partly hawajui kitakachotokea, faces zina super neutral expressions.Precisely the correct expression if you ask me.

Tatizo tushazoea fiction za plastic smiles tukipewa nyuso za watu wanavyojisikia kweli tunaona there is something wrong.

Wengine wameona hii picha iko real kwa sababu haina shela na vimbwanga vya materialism, mimi naenda one step further, hii harusi iko real zaidi kwa sababu haina hata a plastic smile.

As real as it gets, hawajenda kwa wedding planner wala nini hao.

Yaani kama unazielewa expression za kibongo hizo expression hapo juu ni epitomy ya heshima na unyenyekevu, hawa waliona muhimu zaidi ku portray heshima na unyenyekevu katika picha yao ya harusi kuliko furaha.

First of all utafurahi vipi kikweli katika nchi ya mafisadi kama na wewe si fisadi? And by the looks they hardly fit the fisadi bill.
 
Sasa watu wanaoana, wana anxiety, hawajui maisha ya ndoa yataoffer nini, partly wako optimistic, partly hawajui kitakachotokea, faces zina super neutral expressions.Precisely the correct expression if you ask me.

Nimecheka hadi basi kwa vile nimelinganisha na picha yenyewe..... sasa kama walikuwa hawajui what future hold for their marriage why did they go for it?
 
Nimecheka hadi basi kwa vile nimelinganisha na picha yenyewe..... sasa kama walikuwa hawajui what future hold for their marriage why did they go for it?

Do you know the outcome of everything you engage in? Unapotoka nyumbani asubuhi kwenda kazini unajua kwamba utafika?

Nataka ufikirie kwa makini nini maana ya neno kujua kabla ya kujibu.
 
Do you know the outcome of everything you engage in? Unapotoka nyumbani asubuhi kwenda kazini unajua kwamba utafika?

Nataka ufikirie kwa makini nini maana ya neno kujua kabla ya kujibu.


For me God believer,

I belive and hope nitafika kazini salama, naamini kila kitu chema kinatoka kwa Mungu na kibaya kwa shetani. Since niko chini ya ulinzi wa super being i.e GOD nitafika salama.(najua hatutaelewana hapo ila ni fikra na imani zangu.)
 
Back
Top Bottom