mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
wachangaji nao wameanza pungua siku hizi sasa vijana itabidi tuache kuoa maana wachangiaji kwishney
Kumbe michango ndio inafanya watu waoe?
ah wewe unadhani hapa harusi tuseme kila anayeoa ata finance mwenyewe sherehe yote...unadhani ataonekana mtu ..sii matajiri tuu ndio wangekuwa wanaoa. average price ya harusi nzuri nasikia 7M. mishahara ya laki saba utaweza wapi
Utaweza unajitutumua tu hapo ukiitisha kikao kama familia mnaweka mezani 1.5 alafu remaining balance mnatafuta kwa friend ikishindikana mnapiga ndoa kavukavu inawezekana tu kama tukibali mind set tu kwa ukitoka kanisani unaandaa drinks na kufahamiana ndani ya masaa mawili mnatambaa japokuwa changamoto itakuwa kwa mwanadada maana kinadada wengi wanapenda itifaki izingatiwe kuanzia kitchen party, send off mpaka reception
bwana mbwembwe hizo fanya kama kweli wee mwenyewe una hela ya kufanya hayo mambo. sasa wewe mwenyewe mweupe unataka mchango watu wakibuma kutoa unasema wanaroho mbaya. fanya sherehe kulingana na uwezo wako. yaani inabidi sasa tuanze kuwa na mentality kuwa harusi ni ya kwako na kwamba wewe itabbidi ujipange kama wataka madoido
Utaweza unajitutumua tu hapo ukiitisha kikao kama familia mnaweka mezani 1.5 alafu remaining balance mnatafuta kwa friend ikishindikana mnapiga ndoa kavukavu inawezekana tu kama tukibali mind set tu kwa ukitoka kanisani unaandaa drinks na kufahamiana ndani ya masaa mawili mnatambaa japokuwa changamoto itakuwa kwa mwanadada maana kinadada wengi wanapenda itifaki izingatiwe kuanzia kitchen party, send off mpaka reception
Mna kazi kweli kweli, mimi nashukuru nimejiwekea utaratibu wa kutokuchangia arusi ya mtu yeyote labda ndugu yangu au mfanyakazi mwenzangu, tena kwa kiasi kidogo sana. kuna makaka wawili walioa kazini kwetu walinifurahisha sana tena, mmoja alirudi kutoka likizo tukamuona anaoendeza pendeza tukamuuliza mbona unapendeza kama umeoa? akasema ni kweli nimeona, haki ya Mungu hakuna alojua hilo sasa mtu tu kwa furaha unaamua kumnunulia zawadfi au kumsaidia chochote ambacho si lazima, mwengine yeye alioa akawaita watu 50 tu tena si lazima kuchangia, kwetu sisi pwani enzi hizo siku hizi nao wananza kuiga mambo yasi yao! mwali anawekwa nje ya nyumba na kesho yake mnajipiga na pilau au biriyani na maji ya kunywa arusi imehsa, you will hardly spend 1-5m to 2m tena huko ni kwenye higher side ..poleni sana, inabidi watu tubadilike.
Utakuta mtu anaumwa ugonjwa unaohitaji kuchangiwa mgonjwa apate matibabu au dawa, waLLAhi humuoni hata mtu mmoja, na akishakufa watu wanatoa ubani unajiula wanini? sasa ngoja ije arusi watu watachangia malaki na mailioni, au utakuta mtoto hana ada ya shule na ana akili sana ukiomba msaada watu kimya...TUNAKWENDA WAPI WATANZANIA? ujinga ujinga ujinga, ni vema kama mdau wa juu alipsema inabidi tuzibadili akili zetu la sivyo ni balaa.
Sometimes unakuta mtu unaombwa mchango na mtu anaeoa au kuolewa humjui eti? ! au sometimes mtu mnafahamiana kwa mbaali lakini utaona anakenua kumbe anataka kukuomba mchango! halafu KAMA DENI UTAPIGIWA SIMU NA KUKUMBUSHWA KILA SIKU, SICHANGII SICHANGII SICHANGIII
Utaweza unajitutumua tu hapo ukiitisha kikao kama familia mnaweka mezani 1.5 alafu remaining balance mnatafuta kwa friend ikishindikana mnapiga ndoa kavukavu inawezekana tu kama tukibali mind set tu kwa ukitoka kanisani unaandaa drinks na kufahamiana ndani ya masaa mawili mnatambaa japokuwa changamoto itakuwa kwa mwanadada maana kinadada wengi wanapenda itifaki izingatiwe kuanzia kitchen party, send off mpaka reception
ah wewe unadhani hapa harusi tuseme kila anayeoa ata finance mwenyewe sherehe yote...unadhani ataonekana mtu ..sii matajiri tuu ndio wangekuwa wanaoa. average price ya harusi nzuri nasikia 7M. mishahara ya laki saba utaweza wapi
Kwani lazima uoe kwa harusi
Harusi zingine nikiona siyo mtu wa karibu kivile na nimechangia siendi maana mtiririko ule ule...hamna jipya kbs!!