Harusi: Usiku wa Ali na Abdu Kiba

Harusi: Usiku wa Ali na Abdu Kiba

Huyu dada ambae wako na Hashim anaharibu mahojiano na kilemba chake kama fuko la cement.

Hajui kuuliza maswali anakuwa kama Tunakopa tano hapa na mbili kichwani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Its true music unamwisho inafikia kipindi unakuwa huwezi kutoa Hit kali kama zamani...mfano cheki P diddy,Jay Z, 50 CENT hawa wote sasa hivi wamewekeza katika biashara mbali mbali...

Sometimes its better kutumia jina lako kabla halijafifia.
Ciroc tunaigwagwadua tu...yaani ni naked truth hakuna la kuongezea hapo ulichokiandika
 
Back
Top Bottom