Harusi ya binti wa Dangote yafana! Yahudhuriwa na vigogo wakiwemo Bill Gates na Jakaya Kikwete

Harusi ya binti wa Dangote yafana! Yahudhuriwa na vigogo wakiwemo Bill Gates na Jakaya Kikwete

Mie wacha nianze kunyemelea mtoto wa B.Gates na Lt. Steve Job labda nnaweza kuokota dodo huko.

Ila shida mmojawapo akinikubalia ataweza kuja kula ugali wa kulumangia na kachumbari
Ww kaoe akina mwajuma ndala ndefu ndio saizi yako
 
shshshshssheheheheueueueueueueueueueueueueururururrjfjrjrhrhrhrhhfhfhdjdjrjrjfbfhdjdkdjeirjrnrnfujrjrjruejrjrhhrjehehbehrurueu44jurueu4j3j4j4
 
namsubiri Dangote, Gates,Trump n.k kwa yule wa mahari ya M 500 hapa bongo
 
Back
Top Bottom