M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Hongera kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahahhaha dah.
Ndo kisa cha kusema mahari m100.
Mxxxxxie ili kwamba wengine waone hawakutolewa nyingi?
Akwendreee
Hata suti huwa wanaita vya makafiri lakin wanagombaniana kuvaa mbaka basi sasa hiviHivi waislam huwa wanavalishana pete?
Hata music kwao ni ukafiri lakini weng ya wanamuziki ni waislam [emoji849]hapo ndio huwa nashindwa kuwaelewa hawa jamaa zanguHata suti huwa wanaita vya makafiri lakin wanagombaniana kuvaa mbaka basi sasa hivi
Hahahaaaaa anacheza na kungiru was manzese huyoooo eeeehSasa wewe unakereka Nini Mimi kumuuliza yeye Dada(kwa heshima tu nakuuliza) ? Maana aliniquote nikamuuliza huoni Kama yalikuwa ni mazungumzo yetu sisi we unaingilia ya nini badala ya kuendelea na mambo yako? kwani Nimekwambia nimepata shida? Nauliza kwa upole tu
Shetani kaziniWambea njooni basi mtuambie ndoa ya kwanza ilikuaje ikafaaa. warumi uko wapi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]duhHapana Mamy sio Uchawi ,ndoa hizi za mbwembwe nyingi % kubwa huwa hazidumu kabisa!! Na hii ya Manara naona kabisa hapa kwenye Radar yangu haifiki 2022.
Wajaaa shikamoooniHuyu bwana huwa namuonaga kama ana’utoto’ mwingi. Nahisi hata huyo dada akikua kidogo tu, atajionea shida kukaa kwenye utoto wa kiasi hicho. Atakimbia tu kama mwenzie, sema kwa sasa bado nae hajakua.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hao wazazi waliompa haji manara mke hawampendi, afadhali wangempeleka hata kujifunza ufundi wa cherehani ungemsaidia maishani.
Haji keshakuambia dada ni inteligent.
Sijui wamesema marketing officer aaa sikumbuki bwana weeee kazi yake
Lakini kameenda enda shule.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Noma sana hii ya mdogo wake DC ilikufa Mapema sana ,akaja kuoa hako kabinti ka qatar pia nayo chali.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]duh
Ipo tukuletee? Delivery freeHakuna pikchaa
Khaaa umejua kunichekeshaIpo tukuletee? Delivery free
Delivery unapokea tukuletee picha full package?Khaaa umejua kunichekesha