mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 2,966
- 2,634
![]()
Her legs are decorated with henna as she waits in a secluded room....
Miguu myeusi hadi raha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
![]()
Her legs are decorated with henna as she waits in a secluded room....
Hivi hili jina Noah ni la kiislamu ama vipi hapa?... kahtaan,
Kamanda.
Noah ni jina la kiyahudi!
Ndugu Titchaz,
ni kawaida sana kukutana na mchungaji Abdallah/Sharifu/Muhsin. Usishangae wazee wa kanisa wana majina kama Mohamed, Yasin ama Noordin.
Heshima mbele mkuu mwenzangu,
...hapo kwenye redi umeniacha nimeshangaa mpaka basi tu...mmhh!!!
Mfano mmojawapo ni huyu jaji Mstaafu, Augustino RAMADHANI, ambaye kwa sasa ni mchungaji wa kanisa la Anglikana kule Zanzibar.Heshima mbele mkuu mwenzangu,
...hapo kwenye redi umeniacha nimeshangaa mpaka basi tu...mmhh!!!
ana midomo mizuri....hizo lips
At least manzese kuzuri kdg ,,,,,,Slums in kenya?????? Worse:shocked:
![]()
While a large number of women escort the groom...
Miguu myeusi hadi raha.
ana midomo mizuri....hizo lips
Ndugu Titchaz,
Haya majina kwa maeneo yaliyo mengi huku Afrika sio mara zote yanaashiria dini ya mtu. Kwa upande wa Tanzania, kule nyanda za juu Kusini (Ruvuma, Mbeya, Iringa, Rukwa nk) ni kawaida sana kukutana na mchungaji Abdallah/Sharifu/Muhsin. Usishangae wazee wa kanisa wana majina kama Mohamed, Yasin ama Noordin. Likewise, nina rafiki yangu Mkenya yuko Nairobi, anaitwa Majid Waiyaki, ila ni Mkristo. Kwa hiyo sometimes majina yanabebwa kama yalivyo kutoka Mashariki ya kati bila kushabihi dini ya mtu. Ni mtazamo tu.
Mfano mmojawapo ni huyu jaji Mstaafu, Augustino RAMADHANI, ambaye kwa sasa ni mchungaji wa kanisa la Anglikana kule Zanzibar.
Una haki ya kushangaa! Kama utafanikiwa kupita huko, uliza, utaambiwa tu.
Idimi kilichoulizwa hapo juu ni "noah ni jina la asili gani"?Heshima mbele mkuu mwenzangu,
...hapo kwenye redi umeniacha nimeshangaa mpaka basi tu...mmhh!!!
Idimi kilichoulizwa hapo juu ni "noah ni jina la asili gani"?
Na sio watu wanajiita vipi!
Kwa watu wasio na asili maalum au waiga asili za watu sio kitu cha ajabu kuiga majina ya watu. Manake wanaona aibu kutumia majina yao ya asili.
Na we mwenyewe umetoa mifano hai kuwa una rafiki yako MGALATIA lkn ana jina la KIISLAMU na mpaka ukafikia kiasi cha kusema kuna WACHUNGWAJI wanajiita Abdallah , Muhammad na majina mengine mazuri ya KIISLAMU.
Na kuna mkinga mmoja eti anaitwa Somji Juma malekani !
Teh teh teh teh!
Dunia hii ina vituko kupita kiasi!
Sasa mkuu nikuulize! Ulishaskia shehe au maalim au rafiki yako yyt MUISLAMU akawa na jina la KIKRISTO??
JIBU NI 100% HAKUNA!
Ndio ujue kuwa majina ya KIISLAMU MAZURI MNO.
Na wewe nakushauri uchague moja fasta kabla hayajaisha!
Halafu huyo mkinga Somji Juma malekani ambae ni mgalatia ana mjomba wake anaitwa Kakende chavda ufalansa
Teh teh teh teh!
Huo tunaita mchakachuo kwenda mbele!
Cc gombesugu Ritz Averoes
Mkuu Kahtaan,
Daah! Teeh! Teeh! Teeh!
Yaani umenivunja mbavu pita kiasi kwa huu mpini wako...nami sina hata la kuongezea!
Labda tumuite yule Mkinga wa Bombay...aka Somji Juma Malekani!,aje tuone majawaba yake!? Daah! Teeh! Teeh! Teeh!
ahahaaaa!! Daah! Shukran!
Cc;Ritz,Faby
Heshima mbele mkuu mwenzangu,
...hapo kwenye redi umeniacha nimeshangaa mpaka basi tu...mmhh!!!
Sio kushangaa tu mimi na demand ushahidi wa hilo
Kama kuna mtu anakuwa mchungaji halafu hayupo makini kwenye majina huyo hafai kuwa mchungaji kwasababu hajui nguvu iliyoko kwenye majina
Watu wanadhani majina ni majina tu na yanaishia hapo kumbe ni zaidi ya hapo
Naomba Idimi anipe ushahidi wa hilo!
kijana unajua kusoma kweli!?
Amekupa mfano wa kiumbe aitwae AUGUSTINO RAMADHANI ambae ni mchungwaji km yule mjomba wako!
Sasa ulitaka aweke picha au!?
Leo naona umeanza kusherekea kifo cha mungu wako mapema!
Subiri jumatatu au hangover ya damu ya bwana itakuumiza kichwa!
Teh teh teh teh!