Harusi ya Hawa Abdulkadir na Mohammed Noah


Endeleeni kututukana lakini sisi tumejaa upendo tele na tena Yesu alituagiza tupendane sisi kwa sisi na wasio dini ndo maana tunawapenda pamoja na kutuita makafirimaana tumejenga vyuo kwa sadaka zetu tunasoma wote tena mnakuja na hayo Madila yenu hospitali zetu tunatibiwa wote lakini nyie mmepewa chuo na Mkapa mmekikatalia hamtaki wakristo wasome pale NYIE WANAFIKI SANA
 
nimeipenda jaman tradition nzur jaman
 
kahtaan na Eiyer mie huku npo hoi kwa maneno yenu.
Mna maneno balaa
 
Last edited by a moderator:

Hebu usome upendo wenu hapa chini.

Hesabu 31:15

Musa akawauliza, Je! Mmewaponya wanawake wote hai?-
16-Tazama, hawa ndio waliowakosesha wana wa Israeli, kwa shauri la Balaamu, wamfanyie Bwana dhambi katika hilo jambo la Peori, na kwa hivyo pigo lilikuwa katika mkutano wa Bwana.-
17-Basi kwa ajili hiyo mwueni kila mume katika hao watoto, na kila mwanamke aliyemjua mume kwa kulala pamoja naye.-
18-Lakini hao watoto wote wa kike ambao hawakumjua mume kwa kulala pamoja naye, mtawaweka hai kwa ajili yenu.-

Namimi nauona UPENDO WENU WA KUBAKA WATOTO WADOGO NA KUUWA WATU OVYO!

Mnafiki ni yule anae abudu mzungu alivaa nepi!
 
Nilisoma bbc, nikadhani huyu bi harusi alifariki masaa ama siku chache baadae kwenye mlipuko wa boko kharam? Ama sikuelewa mimi?

inaleta raha sana, wakaazi wa kibera wanajua kujienjoy bila kujali umaskini wao.
 

Mbakaji ni Mudy alieoa katoto ka miaka 6 na kuanza kukaba na Mudy huyohuyo ikawa mke wake alipokuwa ameenda kwao akamlala kijakazi wake, Mudy alienda kwa Zaid akamkuta mkewe amelala yupo uchi akamtamani akamnyanganya Zaid na kuwa mkewe
 
Mbakaji ni Mudy alieoa katoto ka miaka 6 na kuanza kukaba na Mudy huyohuyo ikawa mke wake alipokuwa ameenda kwao akamlala kijakazi wake, Mudy alienda kwa Zaid akamkuta mkewe amelala yupo uchi akamtamani akamnyanganya Zaid na kuwa mkewe

Shangazi Molembe mi maneno ya rusha roho na taarabu sio fani yangu!
Mimi nimekuwekea ushahidi wa BIBLIA unaoonyesha kuwa nyie mmepewa ruhusu ya KUUA NA KUNAJISI WATOTO WADOGO!

We unaniletea mipasho!
Haya ndio matatizo ya mtoto wa kiume kuvaa shanga na rangi za midomo!
Angalia tu! Mapadri wanatafuta wa kuwatoa mapepo watu km wewe!
Utaskia tu " Molembe inama kwa jiiiiiiina la yesu! Halafu mtu mwenyewe akili kuambiwa hata kuuliza Kwanini niiname!? Unaitikia "Tawiile baba mtakatifu"!
Kutahamaki u najisi mwili mzima!
Teh teh teh !

Nakuongeza andiko lingine linaloonyesha nyie ni watu wa amani kiasi gani.

Kumbukumbu ya torati 2:34

Tukatwaa miji yake yote wakati huo, tukaharibu kabisa kila mji uliokuwa na watu, pamoja na wanawake na watoto wadogo; tusimsaze hata mmoja;-

35-ila ng'ombe zao tuliwatwaa kuwa mawindo yetu, pamoja na nyara za miji tuliyoitwaa.-

Yaani nyie mlivyo na laana mnauwa mpaka watoto wachanga halafu mnabakisha ng'ombe halafu mnaiba!

Majambazi, wabakaji, na walawiti wakubwa kabisa!
Ndio maana yule mungu mzungu alimpiga mimba mama yake mzazi akawaita kondoo!

I guess for once his was right!

Haya dada. Na wewe nipe andiko kutoka kwenye QURAANI linalothibitisha madai yako.
Kama huna. Hamia kule chit chat kwa kina dada wenzako kina Matola na Remote watakufurahia sana kwa mipasho yako.
 
Last edited by a moderator:
baada ya miezi sita jamaa anaongeza wapili, mwisho wa mwaka watatu, mwaka kesho mida kama hii nne bila!
 


KWA UHALISIA WAKE
hAKUNA JINA LA DINI FULANI BALI JINA LA SEHEMU FULANI YA DUNIA
KUNA MAJINA YA KIZUNGU, KIAFRIKA, KIAARABU, KIHINDI, KICHINA NK

BAZAZI
 

Mkuu Eiyer,
Nimemtaja mtu mmoja maarufu mchungaji, mheshimiwa Jaji Mkuu mstaafu Augustino Ramadhani, ambaye baada ya kustaafu amerejea kwenye uchungaji wa kondoo wa BWANA. Ni mchungaji wa kanisa la Anglikana kule Zanzibar.
 
Last edited by a moderator:
KWA UHALISIA WAKE
hAKUNA JINA LA DINI FULANI BALI JINA LA SEHEMU FULANI YA DUNIA
KUNA MAJINA YA KIZUNGU, KIAFRIKA, KIAARABU, KIHINDI, KICHINA NK

BAZAZI
Nakubaliana na wewe kwa 100%.
Kuna mwana JF anaitwa Somji Juma, na ni verified member. Watu walikuwa wanahoji hilo jina la Kihindi kwa mbongo. Sijajua mjadala umeishia wapi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Eiyer,
Nimemtaja mtu mmoja maarufu mchungaji, mheshimiwa Jaji Mkuu mstaafu Augustino Ramadhani, ambaye baada ya kustaafu amerejea kwenye uchungaji wa kondoo wa BWANA. Ni mchungaji wa kanisa la Anglikana kule Zanzibar.

Assume tu kuwa wewe unaitwa Abubakari Abdalah na ukabadili dini na kuingia katika Ukristo,jina litakalobadilika ni Abubakari lakini Abdalah halitabadilika kwasababu hilo sio lako

Huyo mheshimiwa jaji jina lake ni Augustino na sio Ramadhani,Ramadhani ni la mzazi wake ambae yeye jaji hana mamlaka ya kulibadili

Nadhani umenielewa mkuu!
 
nakubaliana na wewe kwa 100%.
Kuna mwana jf anaitwa somji juma, na ni verified member. Watu walikuwa wanahoji hilo jina la kihindi kwa mbongo. Sijajua mjadala umeishia wapi.

somji juma malekani..
Mkristu wa roman..
Msafwa wa mbeya..
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…