Harusi ya Joti Katika Kanisa Katoliki Magomeni

JOTI mbona anaacha kiduku hicho kanisani hilo kanisa wanamwangalia tu??? hovyo kweli mnauchafua ukristo nyie.
Ninyi ni wageni kabisa na biblia na mnaishi kinafiki kanisa katoliki halipo hivyo. Wapo wanaofuga rasta, wapo wanaosuka nywele, wapo wanaonyoa haijakatazwa sehemu yoyote haina madhara kwake yeye na wala kwa jirani yake. Tuache imani za kinafiki huku tukiwa watenda dhambi wakubwa wa kujificha. Kwenye macho ya watu ni wakosoaji wakubwa tunajifanja kutekeleza mila za wale waliotuletea dini kama kuiga mavazi yao, staili za nywele huku moyoni tuyatendayo na tuishivyo Mungu anakuona waziwazi
 
ingia youtube. kuna moja clip ya harusi ni number one on trending
 
Hv ni kweli ama maigizo ....nasikia bongo maigizo ni mengi

siku hizi.....niliwahi kuona uzi mmoja upo hmu joti anaoa

kumbe lilikuwa tangazo ..
 
Ukristo si nywele. Nywele zako hazikuongezei utakatifu.
hivi hamjiulizi babu zenu walivyoheshim kanisa wengine tupo tofauti na nyinyi na hata dini haziruhusu tafuta magazeti ya leo padri huyo alivyokosolewa msipende kushadadia utumbo din lazima iheshimike fanyeni mbele ya safari zenu na huyo padri lazima ale makofi kwa wakubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…