Harusi ya kufungulia mwaka...

Harusi ya kufungulia mwaka...

Jamani mwenzenu hakuiona... ha ha ha...
 
mmh ngoja Preta apite maeneo haya lol
hii harusi yake ...
 
Usijali shosti umzima lakini
haha haha umeona lipstic ya bi harusi hahha haha

mi mzima kaisa bibie .......
mmmhhhh hiyo lipstic ya bibi harusi mmmhhh sijui alipakaliwa na beleshi ..
hhahahaahah lol

vipi lakini new year inaendaje so far???
 
mi mzima kaisa bibie .......
mmmhhhh hiyo lipstic ya bibi harusi mmmhhh sijui alipakaliwa na beleshi ..
hhahahaahah lol

vipi lakini new year inaendaje so far???


New year tunashukuru Mungu tumeuona... Hahha haha hiyo lipstick nahisi nilikuwa na ugomvi na mdada wa salon hahhah:teeth::teeth:
 
New year tunashukuru Mungu tumeuona... Hahha haha hiyo lipstick nahisi nilikuwa na ugomvi na mdada wa salon hahhah:teeth::teeth:

mmmhh kwa kweli ni jambo la kumshuru Mungu..
ila tunaomba uendelee kuwa mwaka wa amani ...


mmmm nway mwaya mie nta kuremba siku ya harusi yako...
aliyekupaka hiyo kakusiriba vibaya sana
utazani anapaka chokaa nyumba....
mmmmhhh
 
Back
Top Bottom