Ji kama wametoka ssyari nyingine kabisa, wametua kwa picha soon watarejea walikotokaUnapanda Ngorika na Abood then ukutane na watoto wa Kishua?
Kwanza hawa probably hukutana abroad kwenye event nzito nzito au kwenye midege mikubwa wakielekea abroad.
Hawakukutana kwenye daldala za simu 2000 au za Mbagala hawa.
Samia na Husein ni mtu na kayemba!Nmepita pita kwenye mtandao nimekutana na picha za sherehe ya HARUSI ya kuolewa kwa BINTI ya muheshmiwa Rais wa Zanzibar Ndugu Hussein Mwinyi.
Nmepatwa kiu ya kujua huyu mshaikaji aliepata hii Bahati, na naskia jamaa NI mmasai wa Arusha na NI Mkristo sasa sijajua Nani kabadilisha dini hapo, wataalamu wa mambo wazee wa kuchimbua taarifa mbalimbali leteni majibu.
Naskia shehere ilihudhuruiwa na Mawaziri wengi Sana wa bara na visiwani, pamoja na Babamkwe (Raisi wa Zanzibar) baadhi ya wageni alikuwepo mama Samia
Huyo dogo nadhani hata yeye kwao mambo yatakuja sio mabaya atakua wa kishua, hivi wanakutania wapi na hawa watoto wa Marais? Huyu jamaa anabahati sana, naskia sherehe ilihudhuriwa na watu zaidi ya 2500 na wengi viongozi wa serikali.
View attachment 3050187View attachment 3050188View attachment 3050189View attachment 3050190
Nasikitika kuona watu wanafanya jambo la heshima kama ndoa kuwa fursa ya kiuchumi.Nmepita pita kwenye mtandao nimekutana na picha za sherehe ya HARUSI ya kuolewa kwa BINTI ya muheshmiwa Rais wa Zanzibar Ndugu Hussein Mwinyi.
Nmepatwa kiu ya kujua huyu mshaikaji aliepata hii Bahati, na naskia jamaa NI mmasai wa Arusha na NI Mkristo sasa sijajua Nani kabadilisha dini hapo, wataalamu wa mambo wazee wa kuchimbua taarifa mbalimbali leteni majibu.
Naskia shehere ilihudhuruiwa na Mawaziri wengi Sana wa bara na visiwani, pamoja na Babamkwe (Raisi wa Zanzibar) baadhi ya wageni alikuwepo mama Samia
Huyo dogo nadhani hata yeye kwao mambo yatakuja sio mabaya atakua wa kishua, hivi wanakutania wapi na hawa watoto wa Marais? Huyu jamaa anabahati sana, naskia sherehe ilihudhuriwa na watu zaidi ya 2500 na wengi viongozi wa serikali.
View attachment 3050187View attachment 3050188View attachment 3050189View attachment 3050190
Nyie ndio mnaoliwa tigo hivi inakuwaje Mwanamume kabisa unaendeleza kampeni ya kataa ndoa mbona hamna soni ndugu zangu?kataa ndoa ili iweje sasa ugongwe au?hebu acheni usenge wenu buana mambo yenu ya Kishoga mmalizane kimya kimya na mabwana zenu sio kushawishi watu ujinga BASTARD!!Kataa Ndoa.. Ata awe mtoto wa nani we Kataa.
Sasa hawa vijana wanaopayuka humu kuwa Kataa ndoa sijui nini wanahusika na Methali gani?kila shetani na mbuyu wake...
kila chungu na mfuniko wake...
kila mlango na ufungui wake...
kila nyumba na mlango wake...
zote hizi ni methali kuonesha ya kwamba kila mtu na mtuwe (mtu wake)...
Sasa hawa vijana wanaopayuka humu kuwa Kataa ndoa sijui nini wanahusika na Methali gani?
Hakuna ndoa ya Kiislamu inayokosa mahari labda muolewaji atake pesa kidogo au kitu chenye thamani ndogo lakini mahari lazima.Nasikia mahari kaambiwa achana nayo tu
π€£π€£π€£π€£Nyie ndio mnaoliwa tigo hivi inakuwaje Mwanamume kabisa unaendeleza kampeni ya kataa ndoa mbona hamna soni ndugu zangu?kataa ndoa ili iweje sasa ugongwe au?hebu acheni usenge wenu buana mambo yenu ya Kishoga mmalizane kimya kimya na mabwana zenu sio kushawishi watu ujinga BASTARD!!
Kweli kabisa kijana ni wa Mmasai wa Arusha kwao wanazo sana, kasoma Uturuki ni mfanyabiashara ila ni kijana mstaarabu sana namfahamu,wacha tuishie hapa.Nmepita pita kwenye mtandao nimekutana na picha za sherehe ya HARUSI ya kuolewa kwa BINTI ya muheshmiwa Rais wa Zanzibar Ndugu Hussein Mwinyi.
Nmepatwa kiu ya kujua huyu mshaikaji aliepata hii Bahati, na naskia jamaa NI mmasai wa Arusha na NI Mkristo sasa sijajua Nani kabadilisha dini hapo, wataalamu wa mambo wazee wa kuchimbua taarifa mbalimbali leteni majibu.
Naskia shehere ilihudhuruiwa na Mawaziri wengi Sana wa bara na visiwani, pamoja na Babamkwe (Raisi wa Zanzibar) baadhi ya wageni alikuwepo mama Samia
Huyo dogo nadhani hata yeye kwao mambo yatakuja sio mabaya atakua wa kishua, hivi wanakutania wapi na hawa watoto wa Marais? Huyu jamaa anabahati sana, naskia sherehe ilihudhuriwa na watu zaidi ya 2500 na wengi viongozi wa serikali.
View attachment 3050187View attachment 3050188View attachment 3050189View attachment 3050190
Mtoto yupi huyo wa mama Samia?Samia na Husein ni mtu na kayemba!
mtoto wa mwinyi kaoa binti wa Samia......
ilikua lazima ahudhurie!
tunatawaliwa na familia moya[emoji2]
Hii hutokea mara nyingi, na huwaga sio akili ya mwanamke tu anapata ushauri hata kwa ndugu zake na mama yake hata.Kuna wengine wanaoa mazingira ya hivyo lakini inafika mahala raha ya nafsi Mwanaume anaikosa.
Unakuta mke anakuwa mkali kama Pilipili.
Mwanaume hata kama ni kweli hakuwa na kazi na kazi katafutiwa na baba mkwe taasisi nzuri lakini mke ndio ufanye iwe fimbo ya kumtawala mumeo?
Mwanaume anasononeka hana raha ya nafsi sababu mke hana adabu π€π
Sababu kwao wana Hela ?!