Harusi ya Mtoto wa Kike wa Rais Museveni aliyeolewa Mtoto wa Jenerali Tumukunde

Harusi ya Mtoto wa Kike wa Rais Museveni aliyeolewa Mtoto wa Jenerali Tumukunde

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Photos attached





FB_IMG_16461997501621120.jpg


FB_IMG_16461997450144544.jpg


FB_IMG_16461997409979102.jpg


Screenshot_20220302-084241.png
 
Muda si mrefu Uganda itakuwa inatawaliwa na familia ya mseveni na marafiki zake

1. Museveni raisi tangu 1986
2. Janeth museven waziri
3. Lt. Gen. Muhozi kainerugaba ni kamanda kamandi ya nchi kavu ( land force commander)

Una tegemea Nini?
 
Aolewe tu mie vimbaumbau hamna
🤣🤣unasubiri waliojazia neema za ajjah sheikh "...ati sijui miss songea! ...wataka mizigo miziti mizito ile sheikh"😂🤣
 
Muda si mrefu Uganda itakuwa inatawaliwa na familia ya mseveni na marafiki zake

1. Museveni raisi tangu 1986
2. Janeth museven waziri
3. Lt. Gen. Muhozi kainerugaba ni kamanda kamandi ya nchi kavu ( land force commander)

Una tegemea Nini?
Nchi inatawaliwa na ndugu watupu
 
Km Tanzania
Muda si mrefu Uganda itakuwa inatawaliwa na familia ya mseveni na marafiki zake

1. Museveni raisi tangu 1986
2. Janeth museven waziri
3. Lt. Gen. Muhozi kainerugaba ni kamanda kamandi ya nchi kavu ( land force commander)

Una tegemea Nini?
 
kumbe Yoweri Museveni brother wake anaitwa Salim Saleh! oooooorait.
 
Huyo ni mdogo wake na ndie Wakala wa uporaji na Msafirishaji mkuu wa mazao ya misitu ya Congo miaka na miaka

Hilo jina alilitumia kuficha identity yake na mahusiano yake na Yoweri wakati wa Mapambano
kumbe Yoweri Museveni brother wake anaitwa Salim Saleh! oooooorait.
 
Back
Top Bottom