Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Photos attached
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Museveni ni munyankole ambao ni wajomba wa Tutsi.Mbona kama watu wa kwa kagame
🤣🤣unasubiri waliojazia neema za ajjah sheikh "...ati sijui miss songea! ...wataka mizigo miziti mizito ile sheikh"😂🤣Aolewe tu mie vimbaumbau hamna
Nchi inatawaliwa na ndugu watupuMuda si mrefu Uganda itakuwa inatawaliwa na familia ya mseveni na marafiki zake
1. Museveni raisi tangu 1986
2. Janeth museven waziri
3. Lt. Gen. Muhozi kainerugaba ni kamanda kamandi ya nchi kavu ( land force commander)
Una tegemea Nini?
Muda si mrefu Uganda itakuwa inatawaliwa na familia ya mseveni na marafiki zake
1. Museveni raisi tangu 1986
2. Janeth museven waziri
3. Lt. Gen. Muhozi kainerugaba ni kamanda kamandi ya nchi kavu ( land force commander)
Una tegemea Nini?
Labda kwa dharura in Shehe Kipoozeo voice.Aolewe tu mie vimbaumbau hamna
kumbe Yoweri Museveni brother wake anaitwa Salim Saleh! oooooorait.
Wake wawili watoke wapi tena ndugu yangu?Kumbe Museveni ana wake wawili?