Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Shoga angu faiza anajiliza tu huko insta!! Mi nilidhani alivyozaa mtoto wa pili na Mwanaume mwingine ndio ka move on....huyo baba li kashindwa kabisa kumkuna faiza dooh!!
Kuna kipindi aliwahi kumchamba insta eti alikuwa anamlazimisha kumla tigo...daah maisha hayaHlaf baba li mzuri mzuri kwelii kuliko sugu
Ni moyo tu sio kusuguliwa wala nini
Huyo demu kapanik, kajaa na wivuSawa lakini Faiza alimaliza top layer sio sasa hivi mdebwedo! mboga mpaka ujaze viungo ni ladha ije?
Kuna kipindi aliwahi kumchamba insta eti alikuwa anamlazimisha kumla tigo...daah maisha haya
Hivi wewe kilaza bado unaishi tu?Sasa na wewe mbona umeganda hapa JF? Nenda huko kapige picha utuletee sisi tulioko mbali na tukio.
yoteMaduka yapi yalifungwa???
Karibu sana mkuu"Shughuli zasimama maduka yafungwa" kabla hujaandika uwe unafikiria hata mara 10 kuliko kuandika kitu chenye kutia aibu kama hii
Sijui Kama ni kweli...pengine zilikuwa hasira tu za kuachwa na m'ume ampendaeKwahiyo inamana huyu Happy anampa dublee mzee Sugu?
Na wewe umeshakufa?Hivi wewe kilaza bado unaishi tu?
Mpambe utamjua tuCha kushangaza ni umati wa vyombo vya habari , unaweza kudhani labda ni ndoa ya Mtoto wa Trump !
Umenifanya nirudi juu kuangalia hyo kabichi [emoji1][emoji1][emoji1] we jamaa bhanaHuyo bibi harusi kashika kabichi ama
Hivi kumbe alikuwa msela/mhuni mwenzetu?