Harusi ya Sugu yatikisa Mbeya Mjini , Shughuli zasimama maduka yafungwa

Harusi ya Sugu yatikisa Mbeya Mjini , Shughuli zasimama maduka yafungwa

Sugu wedding day.....jpg
 
Shoga angu faiza anajiliza tu huko insta!! Mi nilidhani alivyozaa mtoto wa pili na Mwanaume mwingine ndio ka move on....huyo baba li kashindwa kabisa kumkuna faiza dooh!!
 
Moja ya matukio muhimu sana ktk Maisha,safi sana Mh Sugu ,karibu chamani
 
"Shughuli zasimama maduka yafungwa" kabla hujaandika uwe unafikiria hata mara 10 kuliko kuandika kitu chenye kutia aibu kama hii
 
Faiza amelia jamani hajawah kumove on kabisa
Na sijui anakapendea nini haka ka sugu
 
Shoga angu faiza anajiliza tu huko insta!! Mi nilidhani alivyozaa mtoto wa pili na Mwanaume mwingine ndio ka move on....huyo baba li kashindwa kabisa kumkuna faiza dooh!!

Hlaf baba li mzuri mzuri kwelii kuliko sugu
Ni moyo tu sio kusuguliwa wala nini
 
Hilo vazi la Bibi harusi nadhani sio sahihi, nashindwa kuelewa kama Padre hajagundua ama kuna sababu imemfanya kupotezea. White is for purity (angalau kusiwe na ushahidi hadharani wa kutokuwepo kwa hiyo purity)
 
Back
Top Bottom