Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Huyo bibi harusi kashika kabichi ama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu amtangulie kwenye safar yake.
Ikumbukwe imeandikwa "ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe Safi"
Pia ikaandikwa "alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe"
Show some respect, I am neither your kijana nor will I be.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatawala nchi yote including Mbeya. Be careful kijana nchi haiwezi kuwa na marais wawili.
SaladHuyo bibi harusi kashika kabichi ama
Na ww unaolewa linHongera zao
View attachment 1194225
View attachment 1194226
View attachment 1194275
Ama kwa hakika ukiwa mtu wa watu wala hutumii nguvu.
Kila la heri Mh Mbunge wa milele wa Mbeya Mjini
Ningestaajabu sana kama nungayembe usingeonekana kwenye huu uzi. Mwanamke mwenzio kaonekana. Unawashwa kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa na wewe mbona umeganda hapa JF? Nenda huko kapige picha utuletee sisi tulioko mbali na tukio.
Kuna marais wengi tu kama wa Manzese,wa TFF nk. Hivyo wana Mbeya kumuita rais wao though unofficial,just let it be. Wanamutita hivyo na ndiyo furaha yao basi usione kijicho na usiwe na husda.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatawala nchi yote including Mbeya. Be careful kijana nchi haiwezi kuwa na marais wawili.
Binuka nikushughulikie kikamilifu.Ningestaajabu sana kama nungayembe usingeonekana kwenye huu uzi. Mwanamke mwenzio kaonekana. Unawashwa kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umesahau na kumalizia Mungu mbariki Sugu.View attachment 1194225
View attachment 1194226
View attachment 1194275
Ama kwa hakika ukiwa mtu wa watu wala hutumii nguvu.
Kila la heri Mh Mbunge wa milele wa Mbeya Mjini
Hebu weka sawa maneno yako huwelewekiHvi sugu ana miaka mingap, alaf ukute mtu ana miaka 27 uhakika wa kula Hana na anatamani aoe bint mkali duuh
Hvi sugu ana miaka mingap, alaf ukute mtu ana miaka 27 uhakika wa kula Hana na anatamani aoe bint mkali duuh