Kumbuka tunayemjadili hapa ni kiongozi wa watu walio ktk maisha ya kipato cha chini ya dola 1 kwa siku.
Je yeye kama kiongozi ameridhika watu wale na kunywa mamilion ya pesa kwa siku 1? Huku kuna kata hazina hata zahanati.
Ndugu Shangazi asante kwa kuibuka,vipi na kale kataarifa kuwa yule mtoto wa kiume wa Vicky ambae kafanana na Fast Jet Baba yake ni Mzee wa Jamhuri??!!
watoto ni mpango wa mungu my d!
Who cares???
Maskini Mpaka-way wa Amina kongoro angekuwepo Angelia sana kuona kipikio kinachukuliwa hivi huku aligharamia sana hasa kwenye mahotel ya majuu.
hahahahahha funika kombe bhana lol
ni kwel mdau nakumbuka hii harusi,na Mwantumu Mahiza ndo alikuwa chui somo wa bi haruc ,ikapraganyika bwana haruc eti anadai "kwanza tumekutana kupitia mtandaoni" enzi hzo majangaaaaaaaaaaaaaa