Harusi ya Vicky Kamata ni mil 96

Hongera beautiful Vicky Kamata binadamu hawana jema.....hongera sana huyo bwana Harusi kwa ku take maximum risk.....maana wanaume Wengi walikuwa wanakupenda lakini wanakuogopa kwa maneno ya mtaani....

Hongera mume mtarajiwa kwa ujasiri
Hongera Vicky kwa kupata wako mwenyewe aw halali..
 

kiroba kikiisha kichwani naomba urudi kurekebisha post yako.
 

Kuna gazeti limeandika hiyo harusi haitafungwa kwani bwana harusi mtarajiwa ana mwanamke ambaye ameshamlipia mahari kabaisa kwa hiyo ndugu zae wamekuja juu na kupinga hiyo harusi.
 
Kuna gazeti limeandika hiyo harusi haitafungwa kwani bwana harusi mtarajiwa ana mwanamke ambaye ameshamlipia mahari kabaisa kwa hiyo ndugu zae wamekuja juu na kupinga hiyo harusi.
final ukweli umedhihirika. ulikuwa sahihi kwa 100%
 

hii comment hadi leo haina maana
 
Huyu dada kuna uchafu anadhani ataufunika kwa kufanya promo ya harusi hayawatazamaji tupo na akipigwa buti aje na promo trna

Ulimlaani sana kiasi kwamba kapigwa kibuti hata kabla ya kufikishwa altareni! Unabii wako umetimia
 
Yani mpaka mwenyewe najishangaa why nili comment hivyo lol mungu amsamehe .
Ulimlaani sana kiasi kwamba kapigwa kibuti hata kabla ya kufikishwa altareni! Unabii wako umetimia
 
Isije kuwa huu uzi umepeperusha ndege wa mheshimiwa....maana watu wametoa ma CV ya kufa mtu na kumshangaa Bwana harusi mtarajiwa....
 
Hata kuandika kwenyewe taabu kwelikweli!

Watajulia wapi kuandika wakati kutwa wanawaza midushelele ...we vicky kweli una akili za panzi unafeli mpaka masters degree?basi hiyo bachelor ilikuwa ni ya chupi mwanzo kati mwisho..masters unafeli?tena umesomea nje ya nchi?mxxxi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…