Harusi yageuka msiba baada ya fumanizi

Harusi yageuka msiba baada ya fumanizi

Roca fella

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2023
Posts
2,077
Reaction score
4,152
Bwana harusi abdoulatif nchini Cameroon katika Jimbo la bafoussam akiwa chini ya ulinzi wa polisi baada ya kuleta maafa kwa kumjeruhi na kumuua kijana Ernest ademilo kwa kumfania akiwa na mama yake mzazi abdoulatif.

Aidha mtuhumiwa huyo anadaiwa kufanya hayo ikiwa ni siku yake ya harusi akifunga ndoa na mkewe mtarajiwa Maryam ayodeji, mtuhumiwa huyo anadai wakati sherehe inaendelea hakumwona mama yake kwa wakati ule hivyo akalazimika kutuma vijana wamwangalie alipo kwa bahati mbaya hawakumwona hivyo akalazimika kwenda mwenyewe na hatimaye alifanikiwa kuona gari katika parking na kuhusu minong'ono kwa ndani alifuatilia kwa karibu na kugundua mama yake mzazi akishiriki ngono na kijana mdogo wa rika lake NDIPO alitumia hasira kumjeruhi kijana huyo kwa kumpiga na chuma kizito kichwani Hadi kufa huku akimjeruhi mama yake kwa kumpiga sehemu mbali mbali za mwili.

Inasikitisha Sana kwa nyakati hizi hayana ladha na kuharibu jamii kupoteza maisha ya wanawadamu.

Chanzo Cha habari ni CAMEROUN UPDATES.
 
Bwana harusi abdoulatif nchini Cameroon katika Jimbo la bafoussam akiwa chini ya ulinzi wa polisi baada ya kuleta maafa kwa kumjeruhi na kumuua kijana Ernest ademilo kwa kumfania akiwa na mama yake mzazi abdoulatif.

Aidha mtuhumiwa huyo anadaiwa kufanya hayo ikiwa ni siku yake ya harusi akifunga ndoa na mkewe mtarajiwa Maryam ayodeji, mtuhumiwa huyo anadai wakati sherehe inaendelea hakumwona mama yake kwa wakati ule hivyo akalazimika kutuma vijana wamwangalie alipo kwa bahati mbaya hawakumwona hivyo akalazimika kwenda mwenyewe na hatimaye alifanikiwa kuona gari katika parking na kuhusu minong'ono kwa ndani alifuatilia kwa karibu na kugundua mama yake mzazi akishiriki ngono na kijana mdogo wa rika lake NDIPO alitumia hasira kumjeruhi kijana huyo kwa kumpiga na chuma kizito kichwani Hadi kufa huku akimjeruhi mama yake kwa kumpiga sehemu mbali mbali za mwili.

Inasikitisha Sana kwa nyakati hizi hayana ladha na kuharibu jamii kupoteza maisha ya wanawadamu.

Chanzo Cha habari ni CAMEROUN UPDATES.
Kwa hiyo alijisikia wivu sana kwa mama yake mzazi kuwa na mwenza/baba "mdogomdogo"?
 
Bwana harusi abdoulatif nchini Cameroon katika Jimbo la bafoussam akiwa chini ya ulinzi wa polisi baada ya kuleta maafa kwa kumjeruhi na kumuua kijana Ernest ademilo kwa kumfania akiwa na mama yake mzazi abdoulatif.

Aidha mtuhumiwa huyo anadaiwa kufanya hayo ikiwa ni siku yake ya harusi akifunga ndoa na mkewe mtarajiwa Maryam ayodeji, mtuhumiwa huyo anadai wakati sherehe inaendelea hakumwona mama yake kwa wakati ule hivyo akalazimika kutuma vijana wamwangalie alipo kwa bahati mbaya hawakumwona hivyo akalazimika kwenda mwenyewe na hatimaye alifanikiwa kuona gari katika parking na kuhusu minong'ono kwa ndani alifuatilia kwa karibu na kugundua mama yake mzazi akishiriki ngono na kijana mdogo wa rika lake NDIPO alitumia hasira kumjeruhi kijana huyo kwa kumpiga na chuma kizito kichwani Hadi kufa huku akimjeruhi mama yake kwa kumpiga sehemu mbali mbali za mwili.

Inasikitisha Sana kwa nyakati hizi hayana ladha na kuharibu jamii kupoteza maisha ya wanawadamu.

Chanzo Cha habari ni CAMEROUN UPDATES.
Kijana hapendi madharau..
Na nyie wamama mjiheshimu.
 
6F980CCB-ADAA-41C2-85A5-241C0C261DF3.jpeg
 
Bwana harusi abdoulatif nchini Cameroon katika Jimbo la bafoussam akiwa chini ya ulinzi wa polisi baada ya kuleta maafa kwa kumjeruhi na kumuua kijana Ernest ademilo kwa kumfania akiwa na mama yake mzazi abdoulatif.

Aidha mtuhumiwa huyo anadaiwa kufanya hayo ikiwa ni siku yake ya harusi akifunga ndoa na mkewe mtarajiwa Maryam ayodeji, mtuhumiwa huyo anadai wakati sherehe inaendelea hakumwona mama yake kwa wakati ule hivyo akalazimika kutuma vijana wamwangalie alipo kwa bahati mbaya hawakumwona hivyo akalazimika kwenda mwenyewe na hatimaye alifanikiwa kuona gari katika parking na kuhusu minong'ono kwa ndani alifuatilia kwa karibu na kugundua mama yake mzazi akishiriki ngono na kijana mdogo wa rika lake NDIPO alitumia hasira kumjeruhi kijana huyo kwa kumpiga na chuma kizito kichwani Hadi kufa huku akimjeruhi mama yake kwa kumpiga sehemu mbali mbali za mwili.

Inasikitisha Sana kwa nyakati hizi hayana ladha na kuharibu jamii kupoteza maisha ya wanawadamu.

Chanzo Cha habari ni CAMEROUN UPDATES.
Mambo ya Diamond Platinumz hayo ya kutembea kingono Na mama yake mzazi
 
Huyo mwanamke hajitambui hata kidogo,mwanamke ukiachika ama umekuwa mjane jiheshimu maana vijana wako wewe mwenyewe wanajuwa na wivu,wanapokuona ukirandaranda na wanaume ambao siyo baba Yao.
Sasa ndio uue baba yako mdogo kisa wovu kwa mama yako!!!!

Kuna cenge moja nalo lilikuwa linakaa kwa mama yake tumepanga nyumba moja nao,mama wa umri kama 48 hivi siku hiyo kamwalika mtu wake makamo kama 38yrs hivi pale kwake,eti hilo dogo toto la huyo mama likaenda kulewa likarudi na kuanza kumfanyia fujo huyo mgeni,wenzangu wakalivuta wakaliburuza nje piga bakora sana,na maswali"unamtaka mama yako ama????

unaweza kuwa na wivu naye au hata hasira naye ila sio kufikia kudhuru mtu au kuua mtu sababu yake,utatuacha na maswali mengi.
 
Back
Top Bottom