Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa je wivu Tena siku ya harusi inauma Sana 😜Kwa hiyo alijisikia wivu sana kwa mama yake mzazi kuwa na mwenza/baba "mdogomdogo"?
Dogo kazingua, ila mamaake nae malaya tu kashindwa vp hata wasogee mbali kidogo ndo ainamishweKwan mama ake ni mke wake? Huyo jamaa kazingua sanaa
Unataka ujue mama ako alipo muda wote kwani unanyonya ?
Sawa hata kama ni furaha ndo iwe siku hiyo tena parking?moja kwa moja ni mama wa hovyo,sasa ujinga wake unagharimu maisha ya kijana wake na kibenteni wakeJamaa jinga sana,badala ya kufurah kuwa kuna mtu anampa furaha mama yake yeye anakasirika,jinga sana
Mwanangu wa kiume hanuonyi yupo la kwanza ila anavyonifata fata hapo nyuma ni balaaKwan mama ake ni mke wake? Huyo jamaa kazingua sanaa
Unataka ujue mama ako alipo muda wote kwani unanyonya ?
Fara sana wewe Nawanda ameingiaje hapa kwenye maelezoNdoo Hadi kwenye parking huyo dogo aliyekuwa akimfuna bi maza atakuwa na undugu na RC namwanda
Mmmmh!!!!Mambo ya Diamond Platinumz hayo ya kutembea kingono Na mama yake mzazi
Bwana harusi abdoulatif nchini Cameroon katika Jimbo la bafoussam akiwa chini ya ulinzi wa polisi baada ya kuleta maafa kwa kumjeruhi na kumuua kijana Ernest ademilo kwa kumfania akiwa na mama yake mzazi abdoulatif.
Aidha mtuhumiwa huyo anadaiwa kufanya hayo ikiwa ni siku yake ya harusi akifunga ndoa na mkewe mtarajiwa Maryam ayodeji, mtuhumiwa huyo anadai wakati sherehe inaendelea hakumwona mama yake kwa wakati ule hivyo akalazimika kutuma vijana wamwangalie alipo kwa bahati mbaya hawakumwona hivyo akalazimika kwenda mwenyewe na hatimaye alifanikiwa kuona gari katika parking na kuhusu minong'ono kwa ndani alifuatilia kwa karibu na kugundua mama yake mzazi akishiriki ngono na kijana mdogo wa rika lake NDIPO alitumia hasira kumjeruhi kijana huyo kwa kumpiga na chuma kizito kichwani Hadi kufa huku akimjeruhi mama yake kwa kumpiga sehemu mbali mbali za mwili.
Inasikitisha Sana kwa nyakati hizi hayana ladha na kuharibu jamii kupoteza maisha ya wanawadamu.
Chanzo Cha habari ni CAMEROUN UPDATES.
Sasa mtoto wa darasa la kwanza Kuna shida Gani akikufata. Shida Hawa vijana watu wazima kudukua maisha ya mama zao ndiyo inaleta shidaMwanangu wa kiume hanuonyi yupo la kwanza ila anavyonifata fata hapo nyuma ni balaa
Ni ndugu ndioNdoo Hadi kwenye parking huyo dogo aliyekuwa akimfuna bi maza atakuwa na undugu na RC namwanda
Huyo mama nae hana adabu. Alishindwa nini kuvumilia mpaka shughuli ya mwanae ipite.Kwan mama ake ni mke wake? Huyo jamaa kazingua sanaa
Unataka ujue mama ako alipo muda wote kwani unanyonya ?
Ni haramu na ni dharau kwa mama mzazi kufanya hayo Tena katika tafrija ya mwanaye.Sie wanaume tunawapenda Mama zetu kuliko chochote duniani .jamaa kashindwa kuzibiti hasira na ni ngumu