Harusi yageuka msiba baada ya fumanizi

Harusi yageuka msiba baada ya fumanizi

Kwan mama ake ni mke wake? Huyo jamaa kazingua sanaa
Unataka ujue mama ako alipo muda wote kwani unanyonya ?
Mwanangu wa kiume hanuonyi yupo la kwanza ila anavyonifata fata hapo nyuma ni balaa
 
Mlishaambiwa anayetoka na taulo chumbani Kwa mama yako ndio baba yako. Hapo ni wivu wa mama sipati mkewe ndio angekuwa analiwa angefanyaje
 
Sie wanaume tunawapenda Mama zetu kuliko chochote duniani .jamaa kashindwa kuzibiti hasira na ni ngumu
Bwana harusi abdoulatif nchini Cameroon katika Jimbo la bafoussam akiwa chini ya ulinzi wa polisi baada ya kuleta maafa kwa kumjeruhi na kumuua kijana Ernest ademilo kwa kumfania akiwa na mama yake mzazi abdoulatif.

Aidha mtuhumiwa huyo anadaiwa kufanya hayo ikiwa ni siku yake ya harusi akifunga ndoa na mkewe mtarajiwa Maryam ayodeji, mtuhumiwa huyo anadai wakati sherehe inaendelea hakumwona mama yake kwa wakati ule hivyo akalazimika kutuma vijana wamwangalie alipo kwa bahati mbaya hawakumwona hivyo akalazimika kwenda mwenyewe na hatimaye alifanikiwa kuona gari katika parking na kuhusu minong'ono kwa ndani alifuatilia kwa karibu na kugundua mama yake mzazi akishiriki ngono na kijana mdogo wa rika lake NDIPO alitumia hasira kumjeruhi kijana huyo kwa kumpiga na chuma kizito kichwani Hadi kufa huku akimjeruhi mama yake kwa kumpiga sehemu mbali mbali za mwili.

Inasikitisha Sana kwa nyakati hizi hayana ladha na kuharibu jamii kupoteza maisha ya wanawadamu.

Chanzo Cha habari ni CAMEROUN UPDATES.
 
Mwanangu wa kiume hanuonyi yupo la kwanza ila anavyonifata fata hapo nyuma ni balaa
Sasa mtoto wa darasa la kwanza Kuna shida Gani akikufata. Shida Hawa vijana watu wazima kudukua maisha ya mama zao ndiyo inaleta shida
 
Kwan mama ake ni mke wake? Huyo jamaa kazingua sanaa
Unataka ujue mama ako alipo muda wote kwani unanyonya ?
Huyo mama nae hana adabu. Alishindwa nini kuvumilia mpaka shughuli ya mwanae ipite.
 
Sie wanaume tunawapenda Mama zetu kuliko chochote duniani .jamaa kashindwa kuzibiti hasira na ni ngumu
Ni haramu na ni dharau kwa mama mzazi kufanya hayo Tena katika tafrija ya mwanaye.
 
Back
Top Bottom