Habari wadau.
Najiuliza kwa nini vijana matajiri wenye hela wanafanya harusi simple zisizo na michango wala sherehe kubwa zisizozidi bajeti hata milioni mbili.
Mbwana Samatta alifunga ndoa akiwa anacheza mpira ulaya hakuna sherehe wala nini
Majizo mmiliki wa EFM alifunga ndoa na Lulu muigizaji mkubwa hakuna sherehe wala nini
Millard Ayo alifunga ndoa hakuna sherehe wala nini.
Mwana Fa akiwa amejipata alifunga ndoa simple bila sherehe kubwa
Ila vijana maskini wanapenda harusi kubwa na kusumbua watu michango.
Yaani nimeungwa grupu la harusi nimekereka kweli kweli
Najiuliza kwa nini vijana matajiri wenye hela wanafanya harusi simple zisizo na michango wala sherehe kubwa zisizozidi bajeti hata milioni mbili.
Mbwana Samatta alifunga ndoa akiwa anacheza mpira ulaya hakuna sherehe wala nini
Majizo mmiliki wa EFM alifunga ndoa na Lulu muigizaji mkubwa hakuna sherehe wala nini
Millard Ayo alifunga ndoa hakuna sherehe wala nini.
Mwana Fa akiwa amejipata alifunga ndoa simple bila sherehe kubwa
Ila vijana maskini wanapenda harusi kubwa na kusumbua watu michango.
Yaani nimeungwa grupu la harusi nimekereka kweli kweli