:::::::Harusi:::::::::

:::::::Harusi:::::::::

Kubyala ng'wana ngosha kwilolela bhano kaganda kaganga<br />
Mlemona nu nina o Nzagamba<br />
Alibina wisunda sunda<br />
Mlemona nu ise o Nzagamba<br />
Aliniba wisunda sunda<br />
<br />
NB: Y'all be on the lookout for my mixtape coming soon to a store near you!

Only one word looks familiar ...

Sasa tafsiri yake please
Na je unaweza kutumika kwenye
Hii harusi?
 
AD bana.... Khaa.... Nilianza kupanga mipango tayari... lol

Nna rafiki yangu hapa ana panic
Ile mbaya kasahau ku organize nyimbo..
Ndo nka mwambia ngoja utapata msaa
kutoka hapa JF.
 
I cross my heart- George strait
The only one - Lionel Richie
Hello- Lionel Richie
Jojina- Marijani rajabu
naomba kualikwa-Blaki Womani
 
nibebe nibebeeeee......
nibembeleze nibebe....
nibembeleze nifike salama...........................
 
I cross my heart- George strait<br />
The only one - Lionel Richie<br />
Hello- Lionel Richie<br />
Jojina- Marijani rajabu<br />
naomba kualikwa-Blaki Womani

Asante sana
Huo wa mwisho my favorite
.... karibu sana .. 🙂
 
Asante sana...

Nisiwachanganye si zangu.....
Namsaidia rafiki ambaye ana panic
......... sasa


Asavali AD, ningeona wivu!! Mh...
"my love" Julio ni mzuri kwa kufungulia dance.
 
Kwenye harusi yangu tuliweka nyimbo za MR SUGU tu, na watu walifurahi sana.
 
dah! eti kwasababu unauhitaji, NIMEUSAHAU. Lkn beat yake inatumika sana ktk kuendeshea vipindi vyo chombeza time. By the way, chukua huu "U're my number one - Enrique"
 
Back
Top Bottom