Harusini karakata! Kituko cha mwaka

Yani we acha tu, hangovers za jana, na mvua na kibaridi hiki naona km kinaninyevua. Apa leo tusifike saa 10 unusu baby. Kila mmoja atafute kisababu kabisa cha kusepetuka kwa ofis

uuuwiii mamito! makhaba ninyonge mie, naanza kujifanya naumwa sasa ivi hun!
 
Mkuu ambatanisha na picha tafadhari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo sehemu uswaz sana naijua vizuri mkuu Wazee wa busara wengi sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahhaha.
Mtaalamu hafi weqe unaruhusu mchezewe na wajanja?
 
Hebu sena mshana jr. Mlipogundua kuwa nguo/vyombo vya bibie mmesahau ikawaje? Mlirudia au mmeamua atavijia mwakani akiwa na mtoto?? Hofu yangu ni wale panya tu. Wasijekuwa ni wa kimazingara mkashindwa kumfikisha nyumbani bibie mkapata hasara ya pilau yenu iliyoliwa na panya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…