Hasara na Faida za kujiajiri!

Hasara na Faida za kujiajiri!

Bacron F

Senior Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
160
Reaction score
10
Ndugu wana JF napenda kufahamu baadhi ya Hasara na Faida zinazompta yeyote yule anayehamua kujiajiri mwenyewe na kutokupenda kuajiriwa na secta yoyote ile wakati vigezo vya kuajiriwa anavyo. Mfano Form Six leaver with Advanced Diploma in IT anaamua kujiajiri kuliko kuajiriwa je, mtu wa aina hii yuko sawa?

Msaada wa mawazo jamani wana JF
 
Back
Top Bottom