Hasara na gharama za uchawa

Hasara na gharama za uchawa

Survival for the fittest, kasome tena msomi wetu wa Uma, kila kiumbe kina rizki yake, hujawaona traffic police wao husubiri mavuno ya mlalahoi barabarani, CCM wao huwahonga khanga bibi zetu vijijini na unga wa sembe' mifano ni mingi aisee, kuna walioingia kwenye ulaji kwa mlango wa unabii wakavune sadaka vijana wetu wavyuoni wanawaona, kuna kinakibajaji bungeni wao mali za chama na Chama dola ukiwasema utajichosha, otherwise ishi kama wao muhimu uinoe Bongo yako tu ##struggle for existance## kama mbweha na minofu ya wanyama wenzie no mercy ###
Binadamu lazima afikiri kwa umakini (critical thinking) ili atofautiane na wanyama pia viumbe wengine. Ulazima huu una asili kwa Mungu mwenyewe.
Hoja yako itapotosha na kuangamiza taifa na hata maana ya uwepo wa mwanadamu duniani.
 
Sawa

Chawa wanatengenezwa purposely

Mfano Mwijaku ni Chawa wa Haji Manara Lakini ukipita Maduka ya wahundi Kariakoo utawakuta Chawa wa Mwijaku

Kwahiyo Chawa ni Mnyororo wa Upumbavu
uchawarism upo ccm, Subiri 2025 ndio utashuhudia toleo jipya la hawa wadudu. Lililopo sasa ni toleo la 2020 lenye vinasaba vya magulification plus samilification.
 
Kaka, usiwe narrow minded kujikomba ni ancient way of manipulation technique.... yenye manufaa makubwa

Katika Imani hata mitume na manabii walisifiwa
Kwa hiyo kama kujikomba ni ancient technique huoni kwamba sasa kumepitwa na wakati tuanze kuishi maisha ya kiutu?
 
Mkuu mimi sio chawa na wala sifikirii kabisa. Ningetaka hayo mambo ya siasa ningeshapata nafasi kwasababu ya connection niliyo nayo. Nimeridhika na shughuli zangu binafsi zinazoniingizia kipato cha kutosha kabisa. CHA MUHIMU JUA KWAMBA NINARIDHISHWA NA SERA ZA CCM HASA KWENYE HUU UONGOZI WA DR SAMIA. NITAENDELEA KUMSAPOTI MAMA SAMIA HAPA JF.
Habari mkuu samahani najaribu kuja PM naona inanigomea, sijui unanisaidiaje ili tuweze kuwasiliana.... nilikuwa na ishu Private kidogo...
 
Kwa hiyo kama kujikomba ni ancient technique huoni kwamba sasa kumepitwa na wakati tuanze kuishi maisha ya kiutu?
Mkuu hata chawa wanajua madhara ya unacho sema.....

Unaweza kuwa na utu ila haina maana kukomaa uteseke ukisoma udhaifu wa mtu kuwa chawa upige hela

usitumike kimwili both ke/me
 
Mwijaku amejenga jumba la analodai Ni bilioni 1.3 huko kigamboni kisa uchawa Kwa Diamond,sasa kama uchawa usiokudhalilisha kama kutokuwa shoga Kwa mwanaume au msagaji au msagwaji au punda,una washauri vijana wasitembelee Neutral gear kwenye Mlima?
Tunalaani kitendo cha vijana kutumikishwa kwenye uchawa kwa sababu ya umasikini wao.
 
Binadamu lazima afikiri kwa umakini (critical thinking) ili atofautiane na wanyama pia viumbe wengine. Ulazima huu una asili kwa Mungu mwenyewe.
Hoja yako itapotosha na kuangamiza taifa na hata maana ya uwepo wa mwanadamu duniani.
Inashangaz kuna baadhi ya machawa wanajitoa ufahamu wanafanya mambo ya ajabu hapa nchini tukisema wanatujia juu. Mungu anawaona.
 
tpaul una wivu sana bosi wangu. Punguza wivu. Mama yetu, Dkt wa ukweli, Dkt Original, Mzalendo namba moja, Mama mwenye hekima duniani, mpenda maendeleo, Mcha Mungu, ndiye tunatembea naye 2025-2040
Inaonekana uchawa umekuingia sana sio kwa sifa hizo. Hii ni tabia halisi ya uchawa unayoionesha.
 
Kinachotakiwa ni chawa kuchukuliwa kama "chawa" na siyo binadamu wa kawaida na hivyo hastahili kuongoza binadamu.
Kwa hiyo, msimamo wa papa kuhusu mashoga, kuteuliwa kwa vihiyo kuwa majaji na teuzi nyingine za machawa yasiyostahili hakuhalalishi uchawa, bali kunathibitisha uovu wa wahusika.
Viongozi wakubwa lazima wafahamu kwamba chawa ni hatari hata kwa wenyewe hivyo wakae nao kwa tahadhari, bila kuwateua.
Wapo watu wengi wanaojitambua, wanaopenda uongozi wao lakini kamwe hawatajitoa ufahamu kujifanya chawa.
Kwa mikakati yenye ufanisi, ni bora viongozi wangetumia watu wenye busara, wasiojifanya chawa kupanga mikakati yao.
Machawa ndio walimminia Risasi lisu wakauweka kando utu, haingii akilini mtu mwenye akili timamu na mwenye utu ndani ya nchi huru akamimina Risasi kinyama kiasi kile, mwl aliwaweka Machawa vitini akawapiga vikumbo kina Yona kazi Bure, wapi Oscar Kambona?
 
Machawa ndio walimminia Risasi lisu wakauweka kando utu, haingii akilini mtu mwenye akili timamu na mwenye utu ndani ya nchi huru akamimina Risasi kinyama kiasi kile, mwl aliwaweka Machawa vitini akawapiga vikumbo kina Yona kazi Bure, wapi Oscar Kambona?
Michawa ni mijitu ya ajabu sana. Ipo tayari kutekeleza jambo lolote kuwafurahisha wanasiasa wachumiatumbo
 
Back
Top Bottom