HASARA YA KUNYWA MAJI YA BARIDI FAIDA YA KUNYWA MAJI YA UVUGUVUGU CHAGUWA WEWe

HASARA YA KUNYWA MAJI YA BARIDI FAIDA YA KUNYWA MAJI YA UVUGUVUGU CHAGUWA WEWe

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
1475803_547781515307155_795444607_n.jpg
 
Maji ya Baridi yana madhara kwa binadamu. Usipendelee kunywa maji ya baridi kila wakati kunywa maji ya uvuguvugu kwa afya yako mkuu TUKUTUKU

206054_10150967681768744_1189955649_n.jpg
Mkuu mzizi mkavu ili niweze kulinda afya yangu nahitaji kubadili tabia,ingawa huu ni mtihani mgumu sana kwangu!
 
Last edited by a moderator:
Nakama unataka kuwa na afya mzuri basi kunywa glass mbili za maji mara tu baada ya kuamka asubuhi, hiyo itakusaidia kuamsha viungo vyako vya mwili ili vifanye kazi sawa sawa, kunywa glass moja ya maji kabla ya chakula hiyo inasaidia kuyeyusha chakula vizuri (digestion ), kunywa glass moja ya maji kabla ya kuoga itakusaidia kuepuka blood pressure , kunywa glass moja ya maji wakati wa kulala usiku inakusaidia kuepuka heart attack.
 
Back
Top Bottom