Wa mbogwe
Member
- Jul 4, 2016
- 95
- 220
ZIFUATAZO NI HASARA ZA KUBET
1. Unadumaa akili unashindwa kuwaza vitu vya maana vyenye kuleta pesa ya uhakika isiyo na mawazo.
2. Ni rahisi sana kupata magonjwa ya moyo ikiwemo presha, kwa wale wanaobet Dau kubwa na hawana bahati ya kushinda.
3. Hata kama utashinda huwezi kuheshimu pesa, kwasababu akili yako itadumaa na kuamini kuwa pesa inapatkana kiurahisi, kwa mtu anaebet ni rahisi sana kucheza hata million ml akiamini itarudi mala nyingi zaidi ya hiyo.
4. Usipokua makini utajikuta umepoteza pesa nyingi bila kujua, mfano chukulia unaBET sh.5000(kwa mda tofauti) kila siku kwa miez mi3 na kufanikiwa kushinda sh.60,000(kwa mda tofauti) je utakua umepoteza shillingi ngapi?
5. Kubet ni KAMALI na imekatazwa na imani zote za dini(ni haram).
6. Huenda kubet kukakufanya kuwa mtumwa wa madeni kwa kuamini kuwa pesa ya kulipa utaipata kwenye kubet, kwa mtu anaebet ni rahis sana kukopa hata laki moja ili aizalishena endapo akiliwa yuko ladhi kukopa tena ili acheze alipe deni na apate pesa nyngne, ndo maana watu wanaobet huwa asilimia kubwa wana madeni(hata madeni ya mitandao pia mfano M-Pawa.
7. Ukizoea kubet huwez kuona fursa zinazokuzunguka.
USHAURI WANGU
* Kama hujawah kubet usijaribu, maana kubet ni zaidi ya addiction.
*Na kama unabet na umeshaliwa zaidi ya pesa uliyowahi kushinda, acha!
MWISHO ........ MWISHO........MWISHO.
Unaweza ongezea pia.
1. Unadumaa akili unashindwa kuwaza vitu vya maana vyenye kuleta pesa ya uhakika isiyo na mawazo.
2. Ni rahisi sana kupata magonjwa ya moyo ikiwemo presha, kwa wale wanaobet Dau kubwa na hawana bahati ya kushinda.
3. Hata kama utashinda huwezi kuheshimu pesa, kwasababu akili yako itadumaa na kuamini kuwa pesa inapatkana kiurahisi, kwa mtu anaebet ni rahisi sana kucheza hata million ml akiamini itarudi mala nyingi zaidi ya hiyo.
4. Usipokua makini utajikuta umepoteza pesa nyingi bila kujua, mfano chukulia unaBET sh.5000(kwa mda tofauti) kila siku kwa miez mi3 na kufanikiwa kushinda sh.60,000(kwa mda tofauti) je utakua umepoteza shillingi ngapi?
5. Kubet ni KAMALI na imekatazwa na imani zote za dini(ni haram).
6. Huenda kubet kukakufanya kuwa mtumwa wa madeni kwa kuamini kuwa pesa ya kulipa utaipata kwenye kubet, kwa mtu anaebet ni rahis sana kukopa hata laki moja ili aizalishena endapo akiliwa yuko ladhi kukopa tena ili acheze alipe deni na apate pesa nyngne, ndo maana watu wanaobet huwa asilimia kubwa wana madeni(hata madeni ya mitandao pia mfano M-Pawa.
7. Ukizoea kubet huwez kuona fursa zinazokuzunguka.
USHAURI WANGU
* Kama hujawah kubet usijaribu, maana kubet ni zaidi ya addiction.
*Na kama unabet na umeshaliwa zaidi ya pesa uliyowahi kushinda, acha!
MWISHO ........ MWISHO........MWISHO.
Unaweza ongezea pia.