Hasara za kutongoza mtandaoni

Niliwai pata dema mmja mkali mno umbo matata mrembo na tulipendana mno sikuwai kupigwa vizinga akija gheto ana nauli yake ..... ukimpa hatak anakwambia nimekuja kwa penzi tu pesa ninazo zangu ila wazee niliogop nikimuoa lile shape nitachapiwa nikampiga chini alilia san ...... nilidumu nae mwaka na nusu na nilimtoa mtandaoni saiv tupo washikaji kaolewa na bwana mdogo mmja na wamezaa [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] broo mapenz ya kwel yapo haijalishi ...... huku mtandaoni nimezagamua sana warembo ambao mtaani wao wanajiita expensive
 
Sema mwenetu hujatuokota kwenye kupata penzi la kweli mtandaoni
Naona mnataka nilete ushahidi.

Nlidumu nae urafiki 6 months.
Mahusiano 4 years na yalikuwa matamu mno naweza sema ndio mahusiano yangu bora kuwahi kutokea mpaka sasa.
Alikuwa ana sifa zote za kuwa mke, tena mke mwema.
 
Naona mnataka nilete ushahidi.

Nlidumu nae urafiki 6 months.
Mahusiano 4 years na yalikuwa matamu mno naweza sema ndio mahusiano yangu bora kuwahi kutokea mpaka sasa.
Alikuwa ana sifa zote za kuwa mke, tena mke mwema.
Utakua main speaker kwenye annual meeting ya KATAAA NDOA ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚labda utawainspire kidogo walegeze msimamo
 
Utueleze kinagaubaga kwamba ni mambo yanawezekana ๐Ÿ˜‚eb ngoja huyo kimwana ulimpatia insta, jf "NAKAZIA", Twitter au wapi
Fb mkuu, haya mambo yanawezekana kabisa ila huwa ni bahati pia inahusika.

Nikisema tulikua tunapendana amini ilikuwa kweli.

Ukihitaji mtu anza na urafiki kawaida huko mbeleni mtahama tu kwenye urafiki hasa ukishaandaa mazingira ya yeye kukuamini na kukupenda.
 
Pole mkuu kwa kilichokukuta
 
Mitandao gani hiyo? Facebook, Instagram, Twitter,Jf au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ