Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
AsantePole sana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsantePole sana mkuu
KaribuAsante
Asante sanaPole sana mkuu,
Vimekuwa vichoyo kwelinaona nyuzi zenu haziwezi badilika mpaka mtaje kuomba hela
😂 bora kusoma kuliko kuinywaBora hata! Tangu ipande Bei nasoma chai kwenye maandishi tu😂😂
Sema mwenetu hujatuokota kwenye kupata penzi la kweli mtandaoni😂 bora kusoma kuliko kuinywa
Naona mnataka nilete ushahidi.Sema mwenetu hujatuokota kwenye kupata penzi la kweli mtandaoni
Naam ukikurupuka unakurupukiwaNimeopoa mtandaoni kuliko live. Kuna kanuni zake, usikurupuke.
sasa na sisi tumegoma kuomba hela ba wao wasiombe chochote kazi iendeleeVimekuwa vichoyo kweli
Utakua main speaker kwenye annual meeting ya KATAAA NDOA 😂😂😂labda utawainspire kidogo walegeze msimamoNaona mnataka nilete ushahidi.
Nlidumu nae urafiki 6 months.
Mahusiano 4 years na yalikuwa matamu mno naweza sema ndio mahusiano yangu bora kuwahi kutokea mpaka sasa.
Alikuwa ana sifa zote za kuwa mke, tena mke mwema.
😂 kwanini mkuu?Utakua main speaker kwenye annual meeting ya KATAAA NDOA 😂😂😂labda utawainspire kidogo walegeze msimamo
Utueleze kinagaubaga kwamba ni mambo yanawezekana 😂eb ngoja huyo kimwana ulimpatia insta, jf "NAKAZIA", Twitter au wapi😂 kwanini mkuu?
Fb mkuu, haya mambo yanawezekana kabisa ila huwa ni bahati pia inahusika.Utueleze kinagaubaga kwamba ni mambo yanawezekana 😂eb ngoja huyo kimwana ulimpatia insta, jf "NAKAZIA", Twitter au wapi
Ivo yaan🤣🤣sasa na sisi tumegoma kuomba hela ba wao wasiombe chochote kazi iendelee
Pole mkuu kwa kilichokukutaSiku hizi teknolojia imekua kiasi kwamba sio lazima umtongoze mwanamke barabarani sababu kuna mitandao mbalimbali ya kijamii ambayo ina wanawake wazuri wengi tu wenye maumbo na rangi tofautitofauti.
Ingawa wapo wanaofanikiwa kwa kuanzisha mahusiano na yanadumu ila wengi huanzisha mahusiano lakini hayadumu na wengi wao huachana hata kabla ya kuonana.
Changamoto kubwa ya kuanzisha mahusiano mtandaoni ni kwamba asilimia kubwa kubwa ya wanaotongozana wanakua mikoa miwili tofauti tena ipo mbalimbali, mfano mwanaume upo Dar lakini unatongoza mwanamke na kukubaliwa lakini wakati anakukubali tayari unakua ushajua mwanamke yupo Mwanza wewe upo Dar es salaam.
Mwanaume ukishagundua kwamba huyu mwanamke niliemtongoza yupo mkoa wa mbali na nilipo mimi unaanza kutochukulia serious hayo mahusiano.
Kwa mwanamke ni faida mana atakua anakuomba hela wakati wewe mwanaume hupati penzi lake mwisho wa siku utachoka vizinga na kuamua kuyapotezea.
Kutokana na hali hiyo, kutongoza mwanamke au kumuomba namba yake ya simu physically inabaki kuwa the best way ya kupata mwenza kuliko kutongoza tongoza hovyo mtandaoni.
Mitandao gani hiyo? Facebook, Instagram, Twitter,Jf au?Niliwai pata dema mmja mkali mno umbo matata mrembo na tulipendana mno sikuwai kupigwa vizinga akija gheto ana nauli yake ..... ukimpa hatak anakwambia nimekuja kwa penzi tu pesa ninazo zangu ila wazee niliogop nikimuoa lile shape nitachapiwa nikampiga chini alilia san ...... nilidumu nae mwaka na nusu na nilimtoa mtandaoni saiv tupo washikaji kaolewa na bwana mdogo mmja na wamezaa [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] broo mapenz ya kwel yapo haijalishi ...... huku mtandaoni nimezagamua sana warembo ambao mtaani wao wanajiita expensive
Em sukumizia bas ata kapichaNaona mnataka nilete ushahidi.
Nlidumu nae urafiki 6 months.
Mahusiano 4 years na yalikuwa matamu mno naweza sema ndio mahusiano yangu bora kuwahi kutokea mpaka sasa.
Alikuwa ana sifa zote za kuwa mke, tena mke mwema.
Haipo tulishaachanaEm sukumizia bas ata kapicha