Hasheem Thabeet afanya kufuru, amwaga mamilioni disco!

Hebu tujikumbushe na hii list kidogo, alikuwa mbele ya Steph Curry na Harden......anyway kwa wanaotaka kujua Thabeet siku hizi anacheza basketball China

2009 NBA DRAFT ORDER
  • Clippers. Blake Griffin. PF.
  • Grizzlies. Hasheem Thabeet. C.
  • Thunder. James Harden. SG.
  • Kings. Tyreke Evans. PG.
  • Timberwolves. Ricky Rubio. PG.
  • Timberwolves. Jonny Flynn. PG.
  • Warriors. Stephen Curry. PG.
  • Knicks. Jordan Hill. PF.
 
Limebaki jina tu
 
Inasikitisha sana maisha kama gwaride ukisema nyuma geuka wa mwisho anakuwa wa kwanza ,leo Stephen curry ni bilionea ,anampunga wa hatari huku TOLU akitambaa na besela.
 
T
Maskini ya Mungu, tall yule tuliyemtegemea aipaishe nchi kamataifa hakuweza hata kumiliki ndondo cup ya Basketball hapa nyumbani. Aione Samatta
 
Hasheem naona allikuwa mzembe na hakujituma inavyotakiwa na aliposhtuka ilikuwa very late na kuishia kupoteza nafasi yake katika NBA, kuna sehemu nimeona analaumu Memphis Grizzlies' kwa kukosa minutes kitu kilichofanya apoteze uwezo wake lakini nafikiri ni BS excuse, NBA hata kama hupati minutes lazima uwe tayari maana kila mtu ni star, hata ukipewa dakika mbili you have to show something, kwa thabeet ilikuwa tofauti performance ilishuka sana, alienda Asia akachezea league za Japan na Taiwan na sasa yuko China, he is still playing at high level lakini sio mpunga mrefu kama NBA, alifanikiwa kuwa MVP Taiwan na kuwa best defender league ya Japan na hata ukiomuona sasa his body is massive like real NBA star, i wish angeweka efforts alizoweka league za Asia akiwa NBA nina uhakika angefanikiwa sana, all in all hii ni lesson unapopewa opportunity ichukue and work hard and NO excuses
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…