Hasheem Thabeet atua

Hasheem Thabeet atua

... puzmika kidogo na hizi internent zinakuchosha sana akili mkuu, huoni kuwa umechoka sana na mawazo! Damn!

Field Marshall ES

Statistics

# Total Posts: 10,199
# Posts Per Day: 8.44
# Last Activity: Today 12:29 AM
...kuliko wewe uliyekua unawaosha vinyesi vyao nursing home? Ebo! mbona unapenda sana kukimbia kivuli chako wewe! halafu eti unaita this foolishness hard talk?
Let's get back to subject at hand. Ulichemsha kudai kwamba wazungu hawawezi kusaini contract na mchezaji mbovu. Ukaambiwa kuna kitu kinaitwa "draft bust." Ulijifanya kutoa ka analysis ka mambo usoyajua. Baharia umekaa kiwanja mvua kibaaao, lakini vitu vidogo vidogo mpaka leo vinakupita. Mpaka leo unajaribu upatu JF?
 
Last edited by a moderator:
Let's get back to subject at hand. Ulichemsha kudai kwamba wazungu hawawezi kusaini contract na mchezaji mbovu. Ukaambiwa kuna kitu kinaitwa "draft bust." Ulijifanya kutoa ka analysis ka mambo usoyajua. Baharia umekaa kiwanja mvua kibaaao, lakini vitu vidogo vidogo mpaka leo vinakupita. Mpaka leo unajaribu upatu JF?
-bwa ha ha ha ha
 
Field Marshall ES

Statistics

# Total Posts: 10,199
# Posts Per Day: 8.44
# Last Activity: Today 12:29 AM




Let's get back to subject at hand. Ulichemsha kudai kwamba wazungu hawawezi kusaini contract na mchezaji mbovu. Ukaambiwa kuna kitu kinaitwa "draft bust." Ulijifanya kutoa ka analysis ka mambo usoyajua. Baharia umekaa kiwanja mvua kibaaao, lakini vitu vidogo vidogo mpaka leo vinakupita. Mpaka leo unajaribu upatu JF?

1. Hapana we can go there maana that is what you wanted, yaani ya kupapatikia wazungu, ahsante kwamba umekubali hilo.

2. Aliyechemsha ni wewe ambaye you have no clue na status ya Thabeet katika USA, na hasa Basketball in general Thabeet kwa sasa hata asipocheza mechi hata moja ya NBA bado kwa USA basketball history ni great player, maana sio kila mtu anaweza kuichezea U-Conn,

- Huwezi kusaini mkataba wa guaranteed money, US Dollars 8 Million ukawa a bust, ningekubali kwamba unakuwa a bust kama hawakulipi usipocheza vizuri, lakini hata ukiharibu wanakulipa anyway sasa unakuwaje a bust? Yaani kwa sababu kasema mzungu na wewe unarukia tu?

3. Upatu hufanywa na wenye njaa mkuu, mimi sina hiyo njaa huwa ninatangaza kufanya vitu na ninavifanya kweli na siibi hela za walalahoi, upatu ni kuanzisha chama kukusanya michango ya watu na kuingia mitini hakuna chama wala dola elfu moja ya kufiwa ule ndio upatu,

acha kukimbia kivuli chako mkuu ya upatu ni yako mwenyewe, kile chama cha kupeana dola elfu moja za kilio kikowapi? Bwa! ha! ha! ha! mbona wengine walipata wa kabila lako tu lakini makabila mengine hawakupata? Bwa! ha! ha! that is Upatuuuuu na michango ya watu ilienda wapi? Bwa! ha! ha! katibu mkuu wa chama cha kusaidiana vilio kukusanya michango na kuingia mitini Bwa! ha! ha!

Respect.

FMEs!
 
Last edited by a moderator:

Hii ndo hotuba ya kaimu balozi kwenye hafla ya kumpokea Hashim Thabeet jana jioni:
Welcome Home Reception for Memphis Grizzlies player Hasheem Thabeet
Remarks by Larry André, Chargé d’Affaires
Residence of the Chargé d’Affaires, August 17, 2009
(As prepared)

· It is a pleasure and honor to host this distinguished audience to my home tonight. Thank you for joining us to welcome home one of Tanzania’s fastest-rising young stars -- Hasheem Thabeet. I would like to especially welcome Hasheem’s mother, all his family, and his many friends.

· Along with so many people throughout Tanzania, we watched with anticipation and excitement this year’s selection for new players to the world’s premier basketball league, America’s National Basketball Association. That night in late June, we cheered as Hasheem was selected as the first round, number two overall draft pick to the Memphis Grizzlies.

· As the first Tanzanian to be drafted into the NBA, we were elated at Hasheem’s success. What better ambassador of sport between the United States and Tanzania could there be than a young man who grew up in Sinza, Dar es Salaam, was an exchange student and athlete at the University of Connecticut, and now has been selected to play profession basketball in the United States?

· Adding to the excitement was our knowledge of Hasheem as a person. Mr. Thabeet has been a friend of our embassy for many years, and has generously donated his time and talents to help spread his message of success through hard work.

· In one example of his selflessness and true sportsmanship, when Hasheem visited Tanzania last year, he volunteered to speak to young Tanzanians preparing to depart for study at U.S. colleges and universities. He shared his experiences balancing sports with his class work, and inspired some bright, young Tanzanians to reach their fullest potential during their opportunity to attend U.S. universities

· Hasheem’s success shows how hard work and determination allow anyone to achieve his or her greatest dream. Sports, like music, design, and visual arts, show us that the greatest successes and achievements are made by those who work the hardest, not those with the most money or political influence.

· Sports can level the playing field so to speak, allowing people from all backgrounds, colors, economic status and faiths the same opportunity to reach the highest heights of their craft. When we participate in sports internationally, our commonness is affirmed in a manner that no political speech can express. Sport then, truly, is a universal language.

· Hasheem’s success in basketball has meant that more and more young Tanzanians are now interested in playing basketball. To encourage this, the U.S. embassy is working closely with the Tanzania Basketball Federation and Basketball Dar to further promote basketball in Tanzania.

· Last September, the U.S. mission in collaboration with dedicated local partners brought to Tanzania American Olympic Gold Medallist in Women’s Basketball Jennifer Azzi, also an All-Star in the WNBA, as well as Matt Bonner, a Forward for the NBA’s San Antonio Spurs. The players conducted basketball clinics for Tanzanian basketball players, local coaches, and secondary school students.

· Because of the excitement both in Tanzania and in the U.S. in basketball, encouraged by both President Obama and President Kikwete’s great love of the sport, I would like to announce another basketball opportunity that the embassy is working on with our local partners.

· In September, we plan to conduct a basketball clinic for a select number of coaches in the United States, fully funded by the American people. We expect the benefits of this coaches clinic to pay rewards throughout Tanzania for many years to come, as new players are encouraged by their dedicated and experienced coaches.

· Hasheem, your success as the first Tanzanian ever to be drafted the National Basketball Association has opened a new door in the relationship between the United Republic of Tanzania and the United States of America. It is my honor to salute you tonight for your great success, brought about through your hard work and dedication to your game. Hongera sana.
 
....n
IMG_0763.jpg

naona JK naye aliwakilishwa ktk shughuli hiyo....
 
Ila kijana amechemka angevua ile heleni jamani dahhhh mimi ameniudhi sana.
 
Safi sana Hasheem Thabeet, Mafanikio yako yametokana na sera nzuri za CCM kwenye michezo! Kidumu chama cha Mafisadi sorry I mean Mapinduzi!
 
big up hasheem,usikubali wa kina kassela wakajipachika sifa za bure kupitia mgongo wako. nimeona umewatolea uvivu leo
 
Safi sana Hasheem Thabeet, Mafanikio yako yametokana na sera nzuri za CCM kwenye michezo! Kidumu chama cha Mafisadi sorry I mean Mapinduzi!

...😀😀😀 na kweli aisee, ...Kidumu!...

hivi Bongo kuna jamaa wengine warefu kama yeye? mie 'mbado' kuona!
 
FMES said:
- Huwezi kusaini mkataba wa guaranteed money, US Dollars 8 Million ukawa a bust, ningekubali kwamba unakuwa a bust kama hawakulipi usipocheza vizuri, lakini hata ukiharibu wanakulipa anyway sasa unakuwaje a bust? Yaani kwa sababu kasema mzungu na wewe unarukia tu?

FMES,

..mwanamichezo anapoitwa BUST maana yake ni kwamba ameshindwa kucheza kwa kiwango alichotarajiwa kulingana na his draft position na pesa anayolipwa.

..dogo Thabeet ni second overall NBA draft pick. sasa uchezaji wake na rekodi yake NBA inapaswa kukaribiana na ya wachezaji kama Dikembe Mutombo[4th pick], Hakeem Olajuwan[1st pick], Alonzo Mourning[2nd pick], Shaqueel O'Neal[1st pick] etc.

..binafsi nafikiri kwa kuchaguliwa kwake kama 2nd draft pick basi anapaswa kucheza kwa kiwango ambacho akistaafu atapata nafasi ya kuwa inducted into the Basketball Hall of Fame. pia lazima achaguliwe kucheza kwenye all-star games mara kadhaa.

..ukimlinganisha dogo na wa-Tanzania wenzake unaweza kuona kwamba tayari amefika na hana zaidi la kuongeza. lakini ukiangalia mafanikio ambayo wachezaji wenzake, the big centers in the basketball, wameyapata, kwa kweli the sky is the limit for this kid.

..in 2005 Shaqueel O'Neal alisaini mkataba wa miaka 5 wa USD 100 mill. sasa hebu fikiria dogo akifanya vitu vyake atachukua pesa kiasi gani? kwa upande wangu nadhani tumu-encourage huyu dogo afanye 'vitu vyake', acheze kwa kiwango cha juu, na azingatie nidhamu ya mchezo kama wakina Karl Malone, Kobe Bryant, ...wachezaji wa NBA wenye sifa za kuitwa "gym rats."


 
Nampongeza Hasheem, halafu inaonekana hana pozi maana anajichanganya sana. Jana nilikuwa viwanja vya UDSM alikuwa anacheza pale ila tu yule mdogo wake ndo ananitisha na ule utoz wake, yani hiyo kata k alokuwa kavaa,, I have never seen anything like that, it was just too much. Sasa asije akalewa umaarufu wa bro badala ya kujitengeneea maisha yake ya badae. Angetumia hiyo opportunity afanye mambo makubwa zaidi na yeye.
 

Na Mwandishi Wetu
Mafanikio ya Hashim Thabiti Manka a.k.a Hasheem Thabeet ni gumzo hivi sasa nchini, kila mmoja anapiga mayowe kwa staili yake bila kujua msoto ambao alikumbana nao enzi hizo za pangu pakavu tia mchuzi, gazeti hili linalo la kukumegea...

Ijumaa Wikienda linaweza kuthubutu kutoa picha ya zamani ya Hasheem kama kielelezo cha safari ndefu ya kimaisha aliyopitia kabla hajafikia ‘levo' ya utajiri anauogelea kwa sasa.

Kwa mujibu wa kumbukumbu za dawati pamoja na nyongeza kutoka kwa watu wa karibu na ‘tall man' huyo, Hasheem kabla hajapata ngekewa ya kwenda Marekani anakoishi, alipitia vipindi vigumu nchini, ikiwemo kuonekana kituko mitaani.

Hapo kabla, urefu wa Hasheem haukuonekana kama ni mtaji, badala yake akina ‘yahe' walimuona kituko na kuthubutu hata kumcheka walipomuona akikatiza mitaani.

Katika hilo, huko nyuma mara nyingi Hasheem alijaribu kujishughulisha na mambo mengi akiamini yangeweza kumtoa kimaisha na kugonga mwamba.
Habari ambazo zimethibitishwa na Hasheem mwenyewe kupitia ‘intavyuu' mbalimbali ambazo amekuwa akifanya ni kwamba staa huyo wa NBA amewahi kuwa mcheza soka wa kujituma ingawa hakukumtoa.
Hasheem, alikiambia kituo cha Redio Clouds FM wiki iliyopita kuwa kabla mambo hayajamkalia juu ya mstari, alikuwa mcheza soka wakati huo akiwa hana dira sahihi ya kimaisha.

"Nilikuwa nacheza sana soka, ni wakati ambao nilikuwa nimetoka kufiwa na baba yangu, kwahiyo nilikuwa naangalia fursa yoyote itakayoweza kunitoa," alisema Hasheem na kuongeza:

"Nilipokuwa naangalia kikapu pale Chuo Kikuu ndipo kocha wa Outsiders UDSM aliponiona na kunishawishi nicheze kikapu."
Mbali na hilo, gazeti hili linazo data kwamba Hasheem alitaka sana kujiingiza kwenye muziki wa kizazi kipya akiamini ungeweza kumtoa lakini alikumbana na vikwazo kwakuwa ‘maprodyuza' wengi waliikataa sauti yake.

Picha ya zamani ukurasa wa kwanza, ni kwenye Tamasha la Fiesta 2003 ambapo alipanda jukwaani kama mcheza shoo wa Kundi la Solid Ground Family lilipokuwa linatumbuiza wimbo wake wa Bush Party ndani ya Wet & Wild Hotel, Kunduchi, Dar.
Aidha, gazeti hili linazo data nyingine kwamba kutokana na ‘ulemavu' wa watu kumuona Hasheem kituko, alikuwa akipata usumbufu mkubwa wa usafiri kwenye daladala hasa wakati huo akiwa mwanafunzi.

Katika hilo, makondakta wengi walipenda kumnyanyapaa, kwa sababu urefu wake ulikuwa unamfanya ashindwe kusimama vizuri kwenye gari na alipoketi kwenye siti, alilipishwa bei ya mtu mzima bila kupenda.

Hivi karibuni, Hasheem alisajiliwa na Klabu ya Memphis Grizzlies inayoshiriki Ligi Kuu ya Chama cha Mpira wa Kikapu Marekani (NBA), hivyo kuwa Mtanzania wa kwanza kufikia mafanikio hayo.

Kabla ya hapo, alicheza timu ya Chuo Kikuu cha Connecticut, UConn Huskies ambayo inashiriki mashindano ya vyuo na kupata mafanikio makubwa, ikiwemo kutajwa kama beki bora wa mwaka wa ligi na muda wote katika timu yake.
 
Hivi kikabila ni mwenyeji wa wapi huyu?

Maana jina lenyewe ni hasheeeeeeeeeeeeeeem thabeeeeeeeeeeeeeet

kidogo lanchanganya
 
kuna ubaya gani kuulizia kabila lake?

In the end kila mmoja wetu anayo identity yake ya kikabila

yes its educative
 
kuna ubaya gani kuulizia kabila lake?

In the end kila mmoja wetu anayo identity yake ya kikabila

yes its educative

mnatembea kwenye mines nyie. As long as yeye hajajitambulisha kama kabila fulani, lets leave it at that! Au mnataka kusema ukabila ndo umemsave tena?
 
mnatembea kwenye mines nyie. As long as yeye hajajitambulisha kama kabila fulani, lets leave it at that! Au mnataka kusema ukabila ndo umemsave tena?

Kabila lake: MTANZANIA
Nchi atokayo: AFRICA
 
Back
Top Bottom