Hasheem Thabeet: From the NBA to the D-League

Watamlipa kiasi gani huko Rockets? Huko Grizzlies alikuwa akipata $4.9mil before taxes kwa mwaka.
Mungu amsaidie kijana huyo.
hello,long time no see u mama....
.....Olajuwon was reasonably impressed with Thabeet a couple of years back, so this may have contributed a bit to Houstons talent scoping of the guy....al the best HT
 
hello,long time no see u mama....
.....Olajuwon was reasonably impressed with Thabeet a couple of years back, so this may have contributed a bit to Houstons talent scoping of the guy....al the best HT
He needs Olajuwon and Deke training.He's got the shoulders of a little kid, hopefully he can get in the gym and add some strength/bulk to his upper body.
 
Hashim sasa amepata Golden chance asichezee tena
 
Watamlipa kiasi gani huko Rockets? Huko Grizzlies alikuwa akipata $4.9mil before taxes kwa mwaka.
Mungu amsaidie kijana huyo.

I think its not about 'how much will he be paid', but more of a second chance with a very reputable team! Hasheem really need to work hard...make us proud home boy!
 
I would like to think that the Rockets have the coaching and player(s) that can help Thabeet along, Maybe Yao Ming can work with the kid and teaches him how to succeed in basketball while being clumsy.Hopefully he will develop well with consistent minutes.
 
Nimeangalia sana mchezo wa NBA kwa kweli timu yake ya Mephis wamekuwa wakimsaidia sana. Kiwango chake kiko chini mno kulinganisha na alivyopambwa hapo awali. Amekuwa akipangwa tu kutokana na pesa nyingi anazolipwa kuliko akina Hadad.

Kasoro kubwa ya Hasheem anacheza kama wachezaji wa mpira wa kitanzania kwa mfumo wa ridhaa. Mchezo wa kulipwa ni wa kujituma na jitihada binafsi za kujiendeleza kimchezo. Mwalimu anampa mwongozi na si kazi ya kocha kumfundisha ila kumpa maelekezo na yeye ayafanyie kazi. Michezo ya kulipwa ni sawa na elimu ya chuo kikuu kwamba mkufunzi anakuelekeza na wala si kukufundisha kama mwanafunzi wa shule ya msingi au sekondari.

Hasheem anatakiwa aache kale katabia ka uvivu na kuanza kujituma kwa jitihada zote na anaweza kutokana na advantage ya maumbile yake. Kumbuka timu alikouzwa ni ile inayokokota mkia katika kundi lao la Southwest. Afadhali Memphis inaweza kufikia awamu ya mtoano kuliko hii Houston.

Mchezo wa kulipwa ni wa kucheza kufa na kupona bila woga na bila kujihurumia ndiyo tatizo la Hasheem
 
I think its not about 'how much will he be paid', but more of a second chance with a very reputable team! Hasheem really need to work hard...make us proud home boy!

Atalipwa kiasi kile kile alichokuwa analipwa Memphis mpaka mkataba wake utakapoisha mwishoni mwa muhula huu wa sasa. atakapofanya renewal mkataba hapo kutakuwa na makubaliano mengine. Lakini kama kiwango chake kitabaki kama kilivyo basi atapata hela kidogo sana.
Pesa huwa nzuri kama anaweza kutumbukiza zaidi mipira kikapuni, kudaka rebound, steal na block. Vyote hivyo anauwezo kwa vile ni mrefu na anamikono mirefu lakini si mwerevu wa kutumia.
 
Mmi nafikiri tatizo kubwa lililomkumba huyu ndugu yetu ni USHAMBA TU baada ya kuona amekuwa pick # 2 NBA akajiona sasa dunia yote ya kwake! trip za bongo zikawa kama dawa ya homa 3 kutwa mara 3, na akifika bongo IKULU ya kwake, Rais mwenyewe anajipendekeza kwake, kama kawaida ya Rais wetu kujipendekeza kwa Ma-celebrate! nadhani hata mazoezi hakuyapa uzito unatakiwa zaidi ya show-off kwenye jamii, na wanyonge wake ni bongo maana Marekani hana nafasi kabisaaa!!! ni kama mchezaji fulani wa Don bosco tu, kitu cha kusikitisha utasikia leo kapiga mtu night club (Billcanas), mara alitaka kuingia bure kwenye show ya watu gani sijui! kwa kutumia jina lake mradi tu watu wakamuone, kwa style hiyo sidhani kama angeweza kufika popote kwani amebweteka mapema mno badala ya kukaa chini na kijifua kama alivyokuwa mwafrika mwenzake MUTOMBO, aulize mwenzake mambo gani makubwa aliyoyafanya mpaka dakika hii, sio kuanza kutamba asubuhi na mapema wakati wala hujajua mbinu na mikakati ya wenzako Unayotakiwa kuwa nayo NBA.
 
Hii nayo ni siasa?? Ipelekwe kunakohusika....
 

Hivi ni kwa nini wabongo huwa tunapenda sana kujihami dhidi ya watu?
Kwa nini huwa tunaweka moyoni kwamba tunasengenywa?
Imekuwa kama Fashion, karibia kila anayejiita celebrity wa kibongo anapenda kutumia maneno kama ya Huyu Bwana Thabeet.
Ujinga mtupu, unajali watu wanavyokusema? unadhani utakaa uwabadilishe? Piga kazi, and stop whining Moron!!!
 

wabongo tuliowengi tuna mawazo ya kimaskini mkuu..
 
wabongo tuliowengi tuna mawazo ya kimaskini mkuu..

Wanamzingua dogo bure, kama hawamtaki kwanini walimnunua??.

Ile hali ya kule Memphis inaeleweka lakini hii ya Rockets mmh!...maana wao walishamuona kule Memphis ndio maana wakamnunua juzi juzi tu.

Kinachotakiwa ni kocha kumuamini na kumpatia game time ya kutosha ili kijana arudishe confidence yake.

Hasheem sio mchezaji mbovu kiasi hicho, tatizo ni kupoteza confidence baada ya kuwa katika benchi mda mrefu...

Nadhani kama wewe ni mpenda michezo utakua unajua naongelea nini. Mifano mizuri ni akina Berbetov, Rooney, na na sasa Torres....😛anda:

BTW: Kama hali ikiendelea hivi ni bora aende zake kwenye timu za Europe....
 

Unaona numba zake:

CAREER SEASON AVERAGES

Year Team G GS MPG FG% 3P% FT% OFF DEF RPG APG SPG BPG TO PF PPG
09-10 MEM 68 13 13.0 0.588 0.000 0.581 1.3 2.3 3.6 0.2 0.2 1.3 0.63 2.38 3.1
10-11 HOU 2 0 2.0 0.000 0.000 0.000 0.0 0.0 0.0 0.0 0.0 0.5 0.00 1.50 0.0
10-11 MEM 45 0 8.2 0.436 0.000 0.543 0.5 1.1 1.7 0.1 0.2 0.3 0.38 1.62 1.2
Career -- 115 13 10.9 0.550 0.000 0.570 0.9 1.8 2.8 0.1 0.2 0.9 0.52 2.07 2.3

CAREER SEASON TOTALS

Year Team G GS MIN FGM-A 3PM-A FTM-A OFF DEF REB AST STL BLK TO PF PTS
09-10 MEM 68 13 883 77-131 0-0 54-93 85 158 243 11 15 89 43 162 208
10-11 HOU 2 0 4 0-1 0-0 0-0 0 0 0 0 0 1 0 3 0
10-11 MEM 45 0 369 17-39 0-0 19-35 24 51 75 4 9 15 17 73 53
Career -- 115 13 1,256 94-171 0-0 73-128 109 209 318 15 24 105 60 238 261

Yani hata kikapu anashindwa kudondosha?
Kocha wake wa chuo alimwambia abaki...yeye akafuata pesa. Sasa ona mamboz...
 

hujawahi kumbwa na hii dhahama ya fitina? hasa unapofanya kazi sehemu ambayo ni very competitive kuna kuwa na uhasama mkali na usipokuwa makini kuna watu wameumbwa kwa ajili ya kuspoil ndoto za wenzao. You have to prove it by working hard and ignore maneno ya watu though sometimes hii sumu inaweza kukumaliza kabisa. Ila kusemana makazini na kuharibiana kupo sana ndugu yangu, shukuru kama hujakumbwa na hili janga.

Thabeet piga kazi ili kuwaziba mdomo wanaotaka kukuharibia, ukichemsha watasema tulijua tu, ila ukipanda daraja watakaa kimya na kuugulia maumivu moyoni. Be blessed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…